Dkt. Tulia usigombee Mbeya Mjini

Dkt. Tulia usigombee Mbeya Mjini

Kwa uchaguzi upi huo huyu Tulia sijui Mapepe alichaguliwa?

Ule upumbavu ndio mnaita uchaguzi?
 
Tulia ni kuadi namba mbili wa kuuza bandari zetu kwa maslhi binafsi. Mama ameshamwambia hata akikosa ubunge, atakuw wa kwanza kupewa ubunge wa uteuliwa na rais kikatiba
Bandari zetu ni salama na hazijauzwa kwa yeyote yule.lakini pia hayupo mwenye ubavu wala uwezo wa kumuangusha wala kumshinda Dr Tulia katika sanduku la kura.
 
Hakuna cha mwanaharakati Mwabukusi wala jiwe la sugu.
Anayeleta maendeleo ndiyo tunamchagua.
Mnaotaka wabishi nendeni mkale huko kwao!
Gwandile ndili ubukonyofu???mwakaleli tuli na mahala fijoo
 
Bandari zetu ni salama na hazijauzwa kwa yeyote yule.lakini pia hayupo mwenye ubavu wala uwezo wa kumuangusha wala kumshinda Dr Tulia katika sanduku la kura.
Kabisa uko sahihi.maana tume ya uchaguzi ccm,polisi ccm,mkurugenzi ccm,jeshi ccm,mahakama ccm.refa wewe,mchezaji wewe alafu timu yako ifungwe??Sio rahisi.Mwambukusi ni kidume yule,tutakua nae bega Kwa bega.mpaka kieleweke.na bandari hamuuzi ng'ooo,NGUVU YA UMMA IPO
 
Ili kulinda heshima yako na aliyekuteua kwa kukupigania upate ubunge mbeya mjini 2020. Nakusihi 2025,usigombee.

MWAMBUKUSI ndio habari ya mjini.ni ushauri tuu
Pale mfuasi wa Sugu anapoanza kuweweseka 😂😂

Ni hivi Tulia atatulia Mbeya mjini,huyo mbumbumbu wako kama unamhitaji mualike kwako ata rapu ufulahi
 
Pale mfuasi wa Sugu anapoanza kuweweseka

Ni hivi Tulia atatulia Mbeya mjini,huyo mbumbumbu wako kama unamhitaji mualike kwako ata rapu ufulahi
Mbeya labda Kwa wasafwa wajinga wenzio mporoto huko.mjini hapa hatakiwi kuonekana.
 
Ili kulinda heshima yako na aliyekuteua kwa kukupigania upate ubunge mbeya mjini 2020. Nakusihi 2025,usigombee.

MWAMBUKUSI ndio habari ya mjini.ni ushauri tuu
Labda jimbo la Mbeya lipasuliwe vipande vitatu. Likibaki kuwa moja ama kumegwa na kuwa majimbo mawili, nahisi Bibi Tarabushi atakuwa hana lake.
 
Mbeya ni Dr Tulia na Dr Tulia ndio Mbeya. Huyo ndio chaguo la wana Mbeya,ndio Tumaini la wana Mbeya ,ndio hitaji la wana Mbeya,ndiye aliyepitishwa na mioyo ya wana Mbeya.Dr Tulia hana mpinzani wala wa kushindanishwa naye katika sanduku la kura Hakuna mwenye ubavu wa kumzuia wala kumkwamisha Dr Tulia Mbeya mjini.sauti za wana Mbeya zinapazwa na zinasikika zikiendelea kuhitaji utumishi wa Dr Tulia Mbeya mjini.

Kwa mambo makubwa na ya kuacha alama Mbeya mjini imefanya vijana kwa wazee kwa akina mama kuungana kwa pamoja kumuunga mkono Dr Tulia uchaguzi ujao.

Kwa kuwa ni uwepo na ushawishi wa Dr Tulia imepelekea kupelekwa mabilioni kwa mabilioni ya miradi ya maendeleo jiji la Mbeya na mkoa mzima wa Mbeya ,Ni kupitia yeye sasa zaidi ya Km 237.9 za barabara za njia nne zinakwenda kujengwa kuanzia Igawa mpaka Tunduma mkoani Songwe.

Ni kupitia Dr Tulia leo Mbeya inaheshimika na kupewa kila aina ya fursa ya maendeleo.ni kupitia Dr Tulia tumeona vijana , akina mama ,watu wenye ulemavu na makundi mengine mengi yakipewa na kuwezeshwa mitaji kwa ajili ya kufanya shughuli za kujipatia kipato.tumeona vijana wakipewa pikipiki pamoja na bajaji bure kabisaa kwa ajili ya kufanyia biashara na kujipatia fedha zinazowasaidia kuondokana na utegemezi wa kipato.

Ni kupitia uchapa kazi na nguvu ya Dr Tulia tunaona maonyesho ya nane nane mkoani Mbeya yakipewa heshima ya kipekee na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa Taifa letu. Tumeona namna mh Tulia anavyofanya kazi zilizogusa kila eneo ambalo ukienda lazima ukute mikono ya Dr Tulia.Tumeona majuzi hapa amewezesha shule ya sekondari Samora kujenga na kukamilisha mabweni ya wanafunzi wa kike yatakayochochea ufaulu na kuleta utulivu wajisomeapo.

Hakuna utakakokwenda usikute alama na mikono ya Dr Tulia,hakuna ambapo utakwenda usikute mchango wa Dr Tulia,hakuna ambako utapita usionyeshwe juhudi na kazi za Dr Tulia katika kuleta matumaini, Tabasamu,furaha na vicheko vya furaha kwa wanambeya. Ni Dr Tulia kila sehemu ni utulivu kila mahali na ni maendeleo kila eneo kutokana na maono makubwa na upendo mkubwa alio nao Dr Tulia kwa wana Mbeya na Mbeya nzima kwa ujumla wake.
Ujinga toka kwa punguani.
 
Msomi anayetetea mkataba mbovu wa bandari??Bora mbumbumbu mjanja kuliko msomi lofa
Bandari zimefanyaje? Si mlisema DP World amechukua Bandari zote,TPA ametangaza tender omba Sasa ukaendeshe container depot's au unasubiria Mwarabu aombe uanze kuongea upumbavu wako?
 
Ccm na wizi wao hawawezi kuruhusu spika wao anayetetea dp world ashindwe, tulia atashinda kwa kishindo tu hata kama mitutu ikitumika, usishindane na mwenye Dola.... Tulia atabebwa na mbeleko la chuma....

Uchaguzi wa mwaka 2015 lembeli alikua tishio sana baada ya kuhama ccm na kugombea kupitia chadema, na alikua anakubalika sana, unajua Nini kilitokea usiku kabla ya siku ya uchaguzi? Marehemu b.w. mkapa alipelekwa kahama akawa anazunguka usiku kucha na pensi lake, nikajiuliza sana hili Jimbo Lina Nini mpaka wamtume mkapa..... Kilichotokea lembeli aligaragazwa vibaya sana na jumanne kishimba wa ccm.... Nikajua bw mkapa alikuja kwa kazi maalum

Hawa watu ccm bila katika mpya na tume huru ya uchaguzi watashinda popote wanapotaka, na hata wakishindwa watafuta matokeo...rejea ya zanzibar
Kwa kipindi kile kishimba alikua hata hawezi kujieleza, ilinishangaza sana kuona kashind tena Kwa kishindo.
 
Huyu mama ni zaidi ya mchawi sura mbovu roho mbaya miguu mwembamba kama miwa

Tangu siku ile afanye uchawi live kule mbeya amebeba jeneza eti anakwenda kuizika chadema kwa mwalimu wa chuo kikuu yaani hata sheria hajui ni laana

Kwangu mimi huyu ni msaliti namba moja wa tanganyika anatakiwa kuuwawa kwa kupigwa mawe kwani ni zaidi ya vibaka
 
Back
Top Bottom