Dkt. Tulia usigombee Mbeya Mjini

Dkt. Tulia usigombee Mbeya Mjini

Ccm na wizi wao hawawezi kuruhusu spika wao anayetetea dp world ashindwe, tulia atashinda kwa kishindo tu hata kama mitutu ikitumika, usishindane na mwenye Dola.... Tulia atabebwa na mbeleko la chuma....

Uchaguzi wa mwaka 2015 lembeli alikua tishio sana baada ya kuhama ccm na kugombea kupitia chadema, na alikua anakubalika sana, unajua Nini kilitokea usiku kabla ya siku ya uchaguzi? Marehemu b.w. mkapa alipelekwa kahama akawa anazunguka usiku kucha na pensi lake, nikajiuliza sana hili Jimbo Lina Nini mpaka wamtume mkapa..... Kilichotokea lembeli aligaragazwa vibaya sana na jumanne kishimba wa ccm.... Nikajua bw mkapa alikuja kwa kazi maalum

Hawa watu ccm bila katika mpya na tume huru ya uchaguzi watashinda popote wanapotaka, na hata wakishindwa watafuta matokeo...rejea ya zanzibar
 
Ccm na wizi wao hawawezi kuruhusu spika wao anayetetea dp world ashindwe, tulia atashinda kwa kishindo tu hata kama mitutu ikitumika, usishindane na mwenye Dola.... Tulia atabebwa na mbeleko la chuma....

Uchaguzi wa mwaka 2015 lembeli alikua tishio sana baada ya kuhama ccm na kugombea kupitia chadema, na alikua anakubalika sana, unajua Nini kilitokea usiku kabla ya siku ya uchaguzi? Marehemu b.w. mkapa alipelekwa kahama akawa anazunguka usiku kucha na pensi lake, nikajiuliza sana hili Jimbo Lina Nini mpaka wamtume mkapa..... Kilichotokea lembeli aligaragazwa vibaya sana na jumanne kishimba wa ccm.... Nikajua bw mkapa alikuja kwa kazi maalum

Hawa watu ccm bila katika mpya na tume huru ya uchaguzi watashinda popote wanapotaka, na hata wakishindwa watafuta matokeo...rejea ya zanzibar
Nijuavyo na kwa uzoefu nilionao, jimbo la mjini kama hilo la tulia ni rahisi sana kudhibiti wizi wa kura, na hata wakilazimisha ni rahisi kuwaangusha mahakamani kama mlikuwa na mawakala makini kwenye vituo vya kupigia kura.
 
Mbeya ni Dr Tulia na Dr Tulia ndio Mbeya. Huyo ndio chaguo la wana Mbeya,ndio Tumaini la wana Mbeya ,ndio hitaji la wana Mbeya,ndiye aliyepitishwa na mioyo ya wana Mbeya.Dr Tulia hana mpinzani wala wa kushindanishwa naye katika sanduku la kura Hakuna mwenye ubavu wa kumzuia wala kumkwamisha Dr Tulia Mbeya mjini.sauti za wana Mbeya zinapazwa na zinasikika zikiendelea kuhitaji utumishi wa Dr Tulia Mbeya mjini.

Kwa mambo makubwa na ya kuacha alama Mbeya mjini imefanya vijana kwa wazee kwa akina mama kuungana kwa pamoja kumuunga mkono Dr Tulia uchaguzi ujao.

Kwa kuwa ni uwepo na ushawishi wa Dr Tulia imepelekea kupelekwa mabilioni kwa mabilioni ya miradi ya maendeleo jiji la Mbeya na mkoa mzima wa Mbeya ,Ni kupitia yeye sasa zaidi ya Km 237.9 za barabara za njia nne zinakwenda kujengwa kuanzia Igawa mpaka Tunduma mkoani Songwe.

Ni kupitia Dr Tulia leo Mbeya inaheshimika na kupewa kila aina ya fursa ya maendeleo.ni kupitia Dr Tulia tumeona vijana , akina mama ,watu wenye ulemavu na makundi mengine mengi yakipewa na kuwezeshwa mitaji kwa ajili ya kufanya shughuli za kujipatia kipato.tumeona vijana wakipewa pikipiki pamoja na bajaji bure kabisaa kwa ajili ya kufanyia biashara na kujipatia fedha zinazowasaidia kuondokana na utegemezi wa kipato.

Ni kupitia uchapa kazi na nguvu ya Dr Tulia tunaona maonyesho ya nane nane mkoani Mbeya yakipewa heshima ya kipekee na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa Taifa letu. Tumeona namna mh Tulia anavyofanya kazi zilizogusa kila eneo ambalo ukienda lazima ukute mikono ya Dr Tulia.Tumeona majuzi hapa amewezesha shule ya sekondari Samora kujenga na kukamilisha mabweni ya wanafunzi wa kike yatakayochochea ufaulu na kuleta utulivu wajisomeapo.

Hakuna utakakokwenda usikute alama na mikono ya Dr Tulia,hakuna ambapo utakwenda usikute mchango wa Dr Tulia,hakuna ambako utapita usionyeshwe juhudi na kazi za Dr Tulia katika kuleta matumaini, Tabasamu,furaha na vicheko vya furaha kwa wanambeya. Ni Dr Tulia kila sehemu ni utulivu kila mahali na ni maendeleo kila eneo kutokana na maono makubwa na upendo mkubwa alio nao Dr Tulia kwa wana Mbeya na Mbeya nzima kwa ujumla wake.
 
Mbeya ni Dr Tulia na Dr Tulia ndio Mbeya. Huyo ndio chaguo la wana Mbeya,ndio Tumaini la wana Mbeya ,ndio hitaji la wana Mbeya,ndiye aliyepitishwa na mioyo ya wana Mbeya.Dr Tulia hana mpinzani wala wa kushindanishwa naye katika sanduku la kura Hakuna mwenye ubavu wa kumzuia wala kumkwamisha Dr Tulia Mbeya mjini.sauti za wana Mbeya zinapazwa na zinasikika zikiendelea kuhitaji utumishi wa Dr Tulia Mbeya mjini.

Kwa mambo makubwa na ya kuacha alama Mbeya mjini imefanya vijana kwa wazee kwa akina mama kuungana kwa pamoja kumuunga mkono Dr Tulia uchaguzi ujao.

Kwa kuwa ni uwepo na ushawishi wa Dr Tulia imepelekea kupelekwa mabilioni kwa mabilioni ya miradi ya maendeleo jiji la Mbeya na mkoa mzima wa Mbeya ,Ni kupitia yeye sasa zaidi ya Km 237.9 za barabara za njia nne zinakwenda kujengwa kuanzia Igawa mpaka Tunduma mkoani Songwe.

Ni kupitia Dr Tulia leo Mbeya inaheshimika na kupewa kila aina ya fursa ya maendeleo.ni kupitia Dr Tulia tumeona vijana , akina mama ,watu wenye ulemavu na makundi mengine mengi yakipewa na kuwezeshwa mitaji kwa ajili ya kufanya shughuli za kujipatia kipato.tumeona vijana wakipewa pikipiki pamoja na bajaji bure kabisaa kwa ajili ya kufanyia biashara na kujipatia fedha zinazowasaidia kuondokana na utegemezi wa kipato.

Ni kupitia uchapa kazi na nguvu ya Dr Tulia tunaona maonyesho ya nane nane mkoani Mbeya yakipewa heshima ya kipekee na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa Taifa letu. Tumeona namna mh Tulia anavyofanya kazi zilizogusa kila eneo ambalo ukienda lazima ukute mikono ya Dr Tulia.Tumeona majuzi hapa amewezesha shule ya sekondari Samora kujenga na kukamilisha mabweni ya wanafunzi wa kike yatakayochochea ufaulu na kuleta utulivu wajisomeapo.

Hakuna utakakokwenda usikute alama na mikono ya Dr Tulia,hakuna ambapo utakwenda usikute mchango wa Dr Tulia,hakuna ambako utapita usionyeshwe juhudi na kazi za Dr Tulia katika kuleta matumaini, Tabasamu,furaha na vicheko vya furaha kwa wanambeya. Ni Dr Tulia kila sehemu ni utulivu kila mahali na ni maendeleo kila eneo kutokana na maono makubwa na upendo mkubwa alio nao Dr Tulia kwa wana Mbeya na Mbeya nzima kwa ujumla wake.
Kwa kweli Umetoa Somo zuri sana mwenye masikio ya kusikia na asikie!! Nitasimama kuutetea maendeleo ninayouaona na siyo porojo porojo tu.
 
Mbeya ni Dr Tulia na Dr Tulia ndio Mbeya. Huyo ndio chaguo la wana Mbeya,ndio Tumaini la wana Mbeya ,ndio hitaji la wana Mbeya,ndiye aliyepitishwa na mioyo ya wana Mbeya.Dr Tulia hana mpinzani wala wa kushindanishwa naye katika sanduku la kura Hakuna mwenye ubavu wa kumzuia wala kumkwamisha Dr Tulia Mbeya mjini.sauti za wana Mbeya zinapazwa na zinasikika zikiendelea kuhitaji utumishi wa Dr Tulia Mbeya mjini.

Kwa mambo makubwa na ya kuacha alama Mbeya mjini imefanya vijana kwa wazee kwa akina mama kuungana kwa pamoja kumuunga mkono Dr Tulia uchaguzi ujao.

Kwa kuwa ni uwepo na ushawishi wa Dr Tulia imepelekea kupelekwa mabilioni kwa mabilioni ya miradi ya maendeleo jiji la Mbeya na mkoa mzima wa Mbeya ,Ni kupitia yeye sasa zaidi ya Km 237.9 za barabara za njia nne zinakwenda kujengwa kuanzia Igawa mpaka Tunduma mkoani Songwe.

Ni kupitia Dr Tulia leo Mbeya inaheshimika na kupewa kila aina ya fursa ya maendeleo.ni kupitia Dr Tulia tumeona vijana , akina mama ,watu wenye ulemavu na makundi mengine mengi yakipewa na kuwezeshwa mitaji kwa ajili ya kufanya shughuli za kujipatia kipato.tumeona vijana wakipewa pikipiki pamoja na bajaji bure kabisaa kwa ajili ya kufanyia biashara na kujipatia fedha zinazowasaidia kuondokana na utegemezi wa kipato.

Ni kupitia uchapa kazi na nguvu ya Dr Tulia tunaona maonyesho ya nane nane mkoani Mbeya yakipewa heshima ya kipekee na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa Taifa letu. Tumeona namna mh Tulia anavyofanya kazi zilizogusa kila eneo ambalo ukienda lazima ukute mikono ya Dr Tulia.Tumeona majuzi hapa amewezesha shule ya sekondari Samora kujenga na kukamilisha mabweni ya wanafunzi wa kike yatakayochochea ufaulu na kuleta utulivu wajisomeapo.

Hakuna utakakokwenda usikute alama na mikono ya Dr Tulia,hakuna ambapo utakwenda usikute mchango wa Dr Tulia,hakuna ambako utapita usionyeshwe juhudi na kazi za Dr Tulia katika kuleta matumaini, Tabasamu,furaha na vicheko vya furaha kwa wanambeya. Ni Dr Tulia kila sehemu ni utulivu kila mahali na ni maendeleo kila eneo kutokana na maono makubwa na upendo mkubwa alio nao Dr Tulia kwa wana Mbeya na Mbeya nzima kwa ujumla wake.
Sheikh Leo umesahau kuweka namba
 
Ili kulinda heshima yako na aliyekuteua kwa kukupigania upate ubunge mbeya mjini 2020. Nakusihi 2025,usigombee.MWAMBUKUSI ndio habari ya mjini.ni ushauri tuu
Mwabukusi ishu ya bandari ilishaga buma kama anataka kuichukulia kiki atapoteza Hela zake bure
 
Mbeya ni Dr Tulia na Dr Tulia ndio Mbeya. Huyo ndio chaguo la wana Mbeya,ndio Tumaini la wana Mbeya ,ndio hitaji la wana Mbeya,ndiye aliyepitishwa na mioyo ya wana Mbeya.Dr Tulia hana mpinzani wala wa kushindanishwa naye katika sanduku la kura Hakuna mwenye ubavu wa kumzuia wala kumkwamisha Dr Tulia Mbeya mjini.sauti za wana Mbeya zinapazwa na zinasikika zikiendelea kuhitaji utumishi wa Dr Tulia Mbeya mjini.

Kwa mambo makubwa na ya kuacha alama Mbeya mjini imefanya vijana kwa wazee kwa akina mama kuungana kwa pamoja kumuunga mkono Dr Tulia uchaguzi ujao.

Kwa kuwa ni uwepo na ushawishi wa Dr Tulia imepelekea kupelekwa mabilioni kwa mabilioni ya miradi ya maendeleo jiji la Mbeya na mkoa mzima wa Mbeya ,Ni kupitia yeye sasa zaidi ya Km 237.9 za barabara za njia nne zinakwenda kujengwa kuanzia Igawa mpaka Tunduma mkoani Songwe.

Ni kupitia Dr Tulia leo Mbeya inaheshimika na kupewa kila aina ya fursa ya maendeleo.ni kupitia Dr Tulia tumeona vijana , akina mama ,watu wenye ulemavu na makundi mengine mengi yakipewa na kuwezeshwa mitaji kwa ajili ya kufanya shughuli za kujipatia kipato.tumeona vijana wakipewa pikipiki pamoja na bajaji bure kabisaa kwa ajili ya kufanyia biashara na kujipatia fedha zinazowasaidia kuondokana na utegemezi wa kipato.

Ni kupitia uchapa kazi na nguvu ya Dr Tulia tunaona maonyesho ya nane nane mkoani Mbeya yakipewa heshima ya kipekee na kuhudhuriwa na viongozi wakuu wa Taifa letu. Tumeona namna mh Tulia anavyofanya kazi zilizogusa kila eneo ambalo ukienda lazima ukute mikono ya Dr Tulia.Tumeona majuzi hapa amewezesha shule ya sekondari Samora kujenga na kukamilisha mabweni ya wanafunzi wa kike yatakayochochea ufaulu na kuleta utulivu wajisomeapo.

Hakuna utakakokwenda usikute alama na mikono ya Dr Tulia,hakuna ambapo utakwenda usikute mchango wa Dr Tulia,hakuna ambako utapita usionyeshwe juhudi na kazi za Dr Tulia katika kuleta matumaini, Tabasamu,furaha na vicheko vya furaha kwa wanambeya. Ni Dr Tulia kila sehemu ni utulivu kila mahali na ni maendeleo kila eneo kutokana na maono makubwa na upendo mkubwa alio nao Dr Tulia kwa wana Mbeya na Mbeya nzima kwa ujumla wake.
Ana sura kama nyani
 
Ili kulinda heshima yako na aliyekuteua kwa kukupigania upate ubunge mbeya mjini 2020. Nakusihi 2025,usigombee.MWAMBUKUSI ndio habari ya mjini.ni ushauri tuu
Tulia ni kuadi namba mbili wa kuuza bandari zetu kwa maslahi binafsi. Mama ameshamwambia hata akikosa ubunge, atakuw wa kwanza kupewa ubunge wa uteuliwa na rais kikatiba
 
Back
Top Bottom