D DATAZ JF-Expert Member Joined May 25, 2012 Posts 4,712 Reaction score 11,982 May 10, 2025 #1 Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa?
Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa?
Fbn JF-Expert Member Joined Jul 31, 2016 Posts 14,136 Reaction score 33,541 May 10, 2025 #2 We hupo dunia ya CCM nini jana alikuwa kagera
Bill JF-Expert Member Joined Oct 5, 2007 Posts 10,703 Reaction score 11,809 May 10, 2025 #3 DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... Fuatilia mikutano yao.
DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... Fuatilia mikutano yao.
S Sexless JF-Expert Member Joined Mar 11, 2017 Posts 27,640 Reaction score 65,112 May 10, 2025 #4 chizcom said: We hupo dunia ya CCM nini jana alikuwa kagera Click to expand... Safi sana. Samia hatoboi mwaka huu bali atatobolewa.
chizcom said: We hupo dunia ya CCM nini jana alikuwa kagera Click to expand... Safi sana. Samia hatoboi mwaka huu bali atatobolewa.
Greatest Of All Time JF-Expert Member Joined Jan 1, 2017 Posts 25,012 Reaction score 56,303 May 10, 2025 #5 DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... watu wa sisiem mnapenda dana kukurupuka?
DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... watu wa sisiem mnapenda dana kukurupuka?
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 18,302 Reaction score 34,547 May 10, 2025 #6 DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... Umekurupuka sana,Dr. Slaa yupo Kanda ya Victoria kwenye mikutano ya No Reforms No Election.
DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... Umekurupuka sana,Dr. Slaa yupo Kanda ya Victoria kwenye mikutano ya No Reforms No Election.
Carlos The Jackal JF-Expert Member Joined Feb 6, 2017 Posts 28,749 Reaction score 91,826 May 10, 2025 #7 DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... Unakua mbumbumbu wa CCM alafu hata hufatilii taarifa. Huoni mikutano ya CHADEMA, Silaha anavyopiga misumari?.
DATAZ said: Mzee Slaa Hana Taarifa na yanayoendelea CHADEMA na Mahakamani? March 23 aliwaomba radhi wanaCHADEMA na kuwakimbia na kuwataka wampokee. Na aliapa kupambana bega kwa bega kuiondoa CCM madarakani Ghafla kimya imekuwa kimya, vipi tena Balozi Slaa? Click to expand... Unakua mbumbumbu wa CCM alafu hata hufatilii taarifa. Huoni mikutano ya CHADEMA, Silaha anavyopiga misumari?.