Nilijua Ukimbizi baada ya nyumba kupigwa mnada kumbe maisha yake yapo hatarini? Kwa Bongo hata usipokuwa na adui yeyote maisha yako yapo hatarini sana,magonjwa maralia,kipindupindu,ajali barabarani n.k
Na wale walio bomolewa nyumba maisha yao yakoje?
Kwa tz maisha ya wananchi wao yako hatari kipindu pindu kwao tishio.Alafu hata akirudi tz pakufikia ndo hana