GE2025 Dkt. Semistatus Hussein alitaka jimbo la Busega kupitia CCM

GE2025 Dkt. Semistatus Hussein alitaka jimbo la Busega kupitia CCM

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,450
Reaction score
5,279
Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt Semistatus Hussein Mashimba achukua fomu kuwania uteuzi wa kukiwakilisha chama cha Mapinduzi katika uchaguzi mkuu Oktoba 2025 katika Jimbo la Busega Mkoani Simiyu.

Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025

Dkt. Mashimba amechukua fomu hiyo leo Julai 1 2025 katika ofisi ya CCM wilaya ya Busega, amesema ameamua kushirikiana na wananchi wenzake wa Busega na kutumia fursa zilizopo kuleta maendeleo ya jimbo na wananchi.

Screenshot 2025-07-01 231923.png
 
Hivi currently mbuge wa busega ni nani?
 
Back
Top Bottom