Dkt. Samia ameijenga Tanzania sana..!!

Dkt. Samia ameijenga Tanzania sana..!!

Hapa si bado mkandarasi hajakabidhi mradi na mradi unaendelea embu kitulize daraja la kutoka Mbezi stend kuja magufuli terminal maunganisho ya njia si yamefanyika Juzi kuwa na utulivu ukiwa unakunywa mtori nyama zipo chini.
Jiwe aliijenga kwa miaka mingapi? Unaemsifia hapa ni miaka mingapi kumalizia tu ni shida? na bado unataka tumsifie. Ungenambia nayeye kapanua barabara toka ubungo hadi kimara,au kutoka kibaha hadi mlandizi ningekuelewa
 
Ujenzi wa jengo la abiria uwanja wa ndege Mwanza, jiji la pili nchini, zero umesimama hadi uchaguzi, hatuna namna! Mengine tajeni tu,
 
1. Mji wa serikali mtumba umeachwa kuwa magofu kama dege eco village.

2. Stendi mpya ya mabasi moshi imeachwa ijifie yenyewe kama yatima

3. Zahanati na Madarasa mengi yaliyojengwa kimwendo kasi hayana kiwango. Mpaka Waziri mkuu anagombana na wasimamizi

4. Majengo ya shule za msingi hayana tofauti na ya sekondari kimuonekana wala nyenzo. Yaani ni mwendo wa bora jengo

Mji wa Serikali Mtumba unaosema labda nguo, Hapa Dodoma mambo ni moto kila Wizara inajitahidi kuhakikisha mambo yanakwenda au ulitaka wajenge ofisi za mabati?
 
Back
Top Bottom