Dkt. Samia ameijenga Tanzania sana..!!

Dkt. Samia ameijenga Tanzania sana..!!

Billal Saadat

Senior Member
Joined
Nov 30, 2022
Posts
169
Reaction score
358
Rafiki yangu John Pombe Magufuli pamoja na kupenda Ujenzi naimani huko alipo anapiga makofi kwa kasi ya Ujenzi anayokwenda nayo Dkt Samia Suluhu Hassan ni speed ya kasi na viwango vya hali ya Juu sana.

Rafiki yangu alipenda Ujenzi mno ila leo kama kuna nafasi ya nafsi kuona basi anashuhudia utekelezaji ukiwa umefanyika na hakuna kilichosimama daraja la Tanzanite limekamilika na daraja la Wami limekamilika na Ujenzi wa Daraja la Kigongo- Busisi lipo asilimia 79 litakamilika ndani ya muda.

Ujenzi wa reli ya SGR aliaacha ukiwa asilimia 43 tu Dar hadi Morogoro na asilimia 15 Morogoro hadi Dodoma-Makutopora kwa muda huu tunaozungumza Ujenzi wa SGR Dar hadi Moro umekamilika kutoka Morogoro hadi Dodoma ni asilimia 85 na tunakamilisha vipande vya kutoka Dodoma hadi Itigi na itigi kwenda Mwanza ni asilimia 40 sasa.

Dkt. Samia anaijenga nchi na kuijenga kwake Ujenzi unaonekana na kushikika ndani Mwaka 2022 amekamilisha maboma mapya ya vituo vya afya zaidi 304 naomba kwa pamoja popote ulipo usimame na kupiga makofi kwa hali hii.

Ukienda Njombe watakuelezea hali halisi Barabara mbovu na ngumu kama ile ya Makete-Njombe hakuna tena utelezi waliokulia Njombe wanaifahamu vizuri hii Barabara. Festo Sanga Mwaka 2025 atakuwa anapita vijiji vya Njombe huku anapunga mkono maana watu wa Njombe watakuwa mashahidi wa Ujenzi wa Barabara za Lami.

Kuna siku natamani nikutane na Dkt Samia anipe siri ya mafanikio kukamilika kwa miradi hii mikubwa ya kimkakakati ndani ya muda mfupi siri iliyojificha nyuma spidi ya Ujenzi huu wa madarasa ya awali 15000 na madarasa haya ya pili zaidi ya 8000 huu Mwaka hakuna Mwanafunzi wa chaguo la Pili (second selection) madarasa tunayo yakutosha.

Phase 2 ya Mradi wa mwendokasi ikiwa inakamilika na Phase 3 ikiwa kwenye utekelezaji ghafla tuna Phase 4 na 5 ndugu zangu hakuna kilichosimama chini yake kasi ni kubwa mno Tanzania inajengwa sana. Lile bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere limefika asilimia zaidi ya 79 tumpe pongezi.

Pale kwa Ramaphosa kuna Jarida wanaliheshimu sana wale mabwana wanaitwa Business Insider walimtambua Dkt Samia kama ndiye kiongozi wa mfano anayeweka njia kwa Wanawake wengi kuaminika zaidi.

Niseme tu Tanzania ni salama zaidi ya Jana chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan.
 
Rafiki yangu John Pombe Magufuli pamoja na kupenda Ujenzi naimani huko alipo anapiga makofi kwa kasi ya Ujenzi anayokwenda nayo Dkt Samia Suluhu Hassan ni speed ya kasi na viwango vya hali ya Juu sana.

Rafiki yangu alipenda Ujenzi mno ila leo kama kuna nafasi ya nafsi kuona basi anashuhudia utekelezaji ukiwa umefanyika na hakuna kilichosimama daraja la Tanzanite limekamilika na daraja la Wami limekamilika na Ujenzi wa Daraja la Kigongo- Busisi lipo asilimia 79 litakamilika ndani ya muda.

Ujenzi wa reli ya SGR aliaacha ukiwa asilimia 43 tu Dar hadi Morogoro na asilimia 15 Morogoro hadi Dodoma-Makutopora kwa muda huu tunaozungumza Ujenzi wa SGR Dar hadi Moro umekamilika kutoka Morogoro hadi Dodoma ni asilimia 85 na tunakamilisha vipande vya kutoka Dodoma hadi Itigi na itigi kwenda Mwanza ni asilimia 40 sasa.

Dkt. Samia anaijenga nchi na kuijenga kwake Ujenzi unaonekana na kushikika ndani Mwaka 2022 amekamilisha maboma mapya ya vituo vya afya zaidi 304 naomba kwa pamoja popote ulipo usimame na kupiga makofi kwa hali hii.

Ukienda Njombe watakuelezea hali halisi Barabara mbovu na ngumu kama ile ya Makete-Njombe hakuna tena utelezi waliokulia Njombe wanaifahamu vizuri hii Barabara. Festo Sanga Mwaka 2025 atakuwa anapita vijiji vya Njombe huku anapunga mkono maana watu wa Njombe watakuwa mashahidi wa Ujenzi wa Barabara za Lami.

Kuna siku natamani nikutane na Dkt Samia anipe siri ya mafanikio kukamilika kwa miradi hii mikubwa ya kimkakakati ndani ya muda mfupi siri iliyojificha nyuma spidi ya Ujenzi huu wa madarasa ya awali 15000 na madarasa haya ya pili zaidi ya 8000 huu Mwaka hakuna Mwanafunzi wa chaguo la Pili (second selection) madarasa tunayo yakutosha.

Phase 2 ya Mradi wa mwendokasi ikiwa inakamilika na Phase 3 ikiwa kwenye utekelezaji ghafla tuna Phase 4 na 5 ndugu zangu hakuna kilichosimama chini yake kasi ni kubwa mno Tanzania inajengwa sana. Lile bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere limefika asilimia zaidi ya 79 tumpe pongezi.

Pale kwa Ramaphosa kuna Jarida wanaliheshimu sana wale mabwana wanaitwa Business Insider walimtambua Dkt Samia kama ndiye kiongozi wa mfano anayeweka njia kwa Wanawake wengi kuaminika zaidi.

Niseme tu Tanzania ni salama zaidi ya Jana chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan.
Nawashangaa mnazungumzia vimiradi vile vile kila siku wakati Kuna miradi mipya inaendelea..

Mathalani kwenye maji ukiacha maelfu ya miradi kidogo na ya Kati zaidi ya 1000 Nchi nzima ,Kuna miradi mikubwa inaendelea Kama,

Ujenzi wa bwawa la farkwa Dodoma,zaidi ya Bil.350,

Ujenzi wa bwawa la Kidunda,zaidi ya Bil.300,

Ujenzi wa mradi wa Maji ya MTO kiwira Mbeya ,zaidi ya bil.250,

Ujenzi wa mabwawa makubwa 13 maeneo mbalimba ya Nchi,kila Moja Ni zaidi ya sh.Bil.1.5.

Ujenzi wa Samia Housing awamu ya kwanza,zaidi ya bil.250

Miradi ambayo inaenda kuanza mwaka huu kabla ya mwezi Juni Ni

Ujenzi wa Barabara za mradi wa Tactic kwenye miji 28

Ujenzi wa Dart awamu ya 4&5 chini ya Dmdp 2,

Ujenzi wa daraja la Jangwani,

Ujenzi wa reli ya sgr Kaliua-Mpqnda-Karema,

Ujenzi wa express road ya Kibaha Hadi Morogoro,

Ujenzi wa njia 4 igawa-mbeya-Tunduma.

Yaani hiyo Ni sehemu chache Kati ya maelfu ya miradi kila Kona ya Nchi.

Samia anajenga kwa sababu ana Pesa na Uchumi unafanya vizuri na hii ndio maana ya kuwa na diplomasia ya Uchumi,ukumbuke yeye ana Masters ya Uchumi.
 
Lazima ujizimishe data kuandika Uzi kama huu

Hukuwa na umuhimu wa kutumia avatar ya kike.
Hakuna sheria ya kutuzuia tusiwe na mawazo sawa ukweli usemwe wazi Mama kama Mama ameijenga mno hii nchi.
 
Rafiki yangu John Pombe Magufuli pamoja na kupenda Ujenzi naimani huko alipo anapiga makofi kwa kasi ya Ujenzi anayokwenda nayo Dkt Samia Suluhu Hassan ni speed ya kasi na viwango vya hali ya Juu sana.

Rafiki yangu alipenda Ujenzi mno ila leo kama kuna nafasi ya nafsi kuona basi anashuhudia utekelezaji ukiwa umefanyika na hakuna kilichosimama daraja la Tanzanite limekamilika na daraja la Wami limekamilika na Ujenzi wa Daraja la Kigongo- Busisi lipo asilimia 79 litakamilika ndani ya muda.

Ujenzi wa reli ya SGR aliaacha ukiwa asilimia 43 tu Dar hadi Morogoro na asilimia 15 Morogoro hadi Dodoma-Makutopora kwa muda huu tunaozungumza Ujenzi wa SGR Dar hadi Moro umekamilika kutoka Morogoro hadi Dodoma ni asilimia 85 na tunakamilisha vipande vya kutoka Dodoma hadi Itigi na itigi kwenda Mwanza ni asilimia 40 sasa.

Dkt. Samia anaijenga nchi na kuijenga kwake Ujenzi unaonekana na kushikika ndani Mwaka 2022 amekamilisha maboma mapya ya vituo vya afya zaidi 304 naomba kwa pamoja popote ulipo usimame na kupiga makofi kwa hali hii.

Ukienda Njombe watakuelezea hali halisi Barabara mbovu na ngumu kama ile ya Makete-Njombe hakuna tena utelezi waliokulia Njombe wanaifahamu vizuri hii Barabara. Festo Sanga Mwaka 2025 atakuwa anapita vijiji vya Njombe huku anapunga mkono maana watu wa Njombe watakuwa mashahidi wa Ujenzi wa Barabara za Lami.

Kuna siku natamani nikutane na Dkt Samia anipe siri ya mafanikio kukamilika kwa miradi hii mikubwa ya kimkakakati ndani ya muda mfupi siri iliyojificha nyuma spidi ya Ujenzi huu wa madarasa ya awali 15000 na madarasa haya ya pili zaidi ya 8000 huu Mwaka hakuna Mwanafunzi wa chaguo la Pili (second selection) madarasa tunayo yakutosha.

Phase 2 ya Mradi wa mwendokasi ikiwa inakamilika na Phase 3 ikiwa kwenye utekelezaji ghafla tuna Phase 4 na 5 ndugu zangu hakuna kilichosimama chini yake kasi ni kubwa mno Tanzania inajengwa sana. Lile bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere limefika asilimia zaidi ya 79 tumpe pongezi.

Pale kwa Ramaphosa kuna Jarida wanaliheshimu sana wale mabwana wanaitwa Business Insider walimtambua Dkt Samia kama ndiye kiongozi wa mfano anayeweka njia kwa Wanawake wengi kuaminika zaidi.

Niseme tu Tanzania ni salama zaidi ya Jana chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan.
 
We jamaa ni kujipendekeza ama nini.... Tanzanite bridge JPM aliacha halijakamilika? Hivi unajua hadi leo barabara ya kimara mbezi hadi kibaha haijaisha? Hata street lights tu wameshindwa kuweka yaani usiku kama tupo misitu ya lyambalyamfipa. Watu wanavuka daraja la mbezi stand kwenda Magufuli terminal giza totoro
 
We jamaa ni kujipendekeza ama nini.... Tanzanite bridge JPM aliacha halijakamilika? Hivi unajua hadi leo barabara ya kimara mbezi hadi kibaha haijaisha? Hata street lights tu wameshindwa kuweka yaani usiku kama tupo misitu ya lyambalyamfipa. Watu wanavuka daraja la mbezi stand kwenda Magufuli terminal giza totoro

Hapa si bado mkandarasi hajakabidhi mradi na mradi unaendelea embu kitulize daraja la kutoka Mbezi stend kuja magufuli terminal maunganisho ya njia si yamefanyika Juzi kuwa na utulivu ukiwa unakunywa mtori nyama zipo chini.
 
Rafiki yangu John Pombe Magufuli pamoja na kupenda Ujenzi naimani huko alipo anapiga makofi kwa kasi ya Ujenzi anayokwenda nayo Dkt Samia Suluhu Hassan ni speed ya kasi na viwango vya hali ya Juu sana.

Rafiki yangu alipenda Ujenzi mno ila leo kama kuna nafasi ya nafsi kuona basi anashuhudia utekelezaji ukiwa umefanyika na hakuna kilichosimama daraja la Tanzanite limekamilika na daraja la Wami limekamilika na Ujenzi wa Daraja la Kigongo- Busisi lipo asilimia 79 litakamilika ndani ya muda.

Ujenzi wa reli ya SGR aliaacha ukiwa asilimia 43 tu Dar hadi Morogoro na asilimia 15 Morogoro hadi Dodoma-Makutopora kwa muda huu tunaozungumza Ujenzi wa SGR Dar hadi Moro umekamilika kutoka Morogoro hadi Dodoma ni asilimia 85 na tunakamilisha vipande vya kutoka Dodoma hadi Itigi na itigi kwenda Mwanza ni asilimia 40 sasa.

Dkt. Samia anaijenga nchi na kuijenga kwake Ujenzi unaonekana na kushikika ndani Mwaka 2022 amekamilisha maboma mapya ya vituo vya afya zaidi 304 naomba kwa pamoja popote ulipo usimame na kupiga makofi kwa hali hii.

Ukienda Njombe watakuelezea hali halisi Barabara mbovu na ngumu kama ile ya Makete-Njombe hakuna tena utelezi waliokulia Njombe wanaifahamu vizuri hii Barabara. Festo Sanga Mwaka 2025 atakuwa anapita vijiji vya Njombe huku anapunga mkono maana watu wa Njombe watakuwa mashahidi wa Ujenzi wa Barabara za Lami.

Kuna siku natamani nikutane na Dkt Samia anipe siri ya mafanikio kukamilika kwa miradi hii mikubwa ya kimkakakati ndani ya muda mfupi siri iliyojificha nyuma spidi ya Ujenzi huu wa madarasa ya awali 15000 na madarasa haya ya pili zaidi ya 8000 huu Mwaka hakuna Mwanafunzi wa chaguo la Pili (second selection) madarasa tunayo yakutosha.

Phase 2 ya Mradi wa mwendokasi ikiwa inakamilika na Phase 3 ikiwa kwenye utekelezaji ghafla tuna Phase 4 na 5 ndugu zangu hakuna kilichosimama chini yake kasi ni kubwa mno Tanzania inajengwa sana. Lile bwawa la kufua Umeme la Mwalimu Nyerere limefika asilimia zaidi ya 79 tumpe pongezi.

Pale kwa Ramaphosa kuna Jarida wanaliheshimu sana wale mabwana wanaitwa Business Insider walimtambua Dkt Samia kama ndiye kiongozi wa mfano anayeweka njia kwa Wanawake wengi kuaminika zaidi.

Niseme tu Tanzania ni salama zaidi ya Jana chini ya Dkt Samia Suluhu Hassan.
Umevimbiwa?
 
Hukuwa na umuhimu wa kutumia avatar ya kike.
Hakuna sheria ya kutuzuia tusiwe na mawazo sawa ukweli usemwe wazi Mama kama Mama ameijenga mno hii nchi.
Shame on you kwa kunihisi Mimi ni WA kiume, am a lady
 
Nawashangaa mnazungumzia vimiradi vile vile kila siku wakati Kuna miradi mipya inaendelea..

Mathalani kwenye maji ukiacha maelfu ya miradi kidogo na ya Kati zaidi ya 1000 Nchi nzima ,Kuna miradi mikubwa inaendelea Kama,

Ujenzi wa bwawa la farkwa Dodoma,zaidi ya Bil.350,

Ujenzi wa bwawa la Kidunda,zaidi ya Bil.300,

Ujenzi wa mradi wa Maji ya MTO kiwira Mbeya ,zaidi ya bil.250,

Ujenzi wa mabwawa makubwa 13 maeneo mbalimba ya Nchi,kila Moja Ni zaidi ya sh.Bil.1.5.

Ujenzi wa Samia Housing awamu ya kwanza,zaidi ya bil.250

Miradi ambayo inaenda kuanza mwaka huu kabla ya mwezi Juni Ni

Ujenzi wa Barabara za mradi wa Tactic kwenye miji 28

Ujenzi wa Dart awamu ya 4&5 chini ya Dmdp 2,

Ujenzi wa daraja la Jangwani,

Ujenzi wa reli ya sgr Kaliua-Mpqnda-Karema,

Ujenzi wa express road ya Kibaha Hadi Morogoro,

Ujenzi wa njia 4 igawa-mbeya-Tunduma.

Yaani hiyo Ni sehemu chache Kati ya maelfu ya miradi kila Kona ya Nchi.

Samia anajenga kwa sababu ana Pesa na Uchumi unafanya vizuri na hii ndio maana ya kuwa na diplomasia ya Uchumi,ukumbuke yeye ana Masters ya Uchumi.
Kama ndio upo kwenye mfumo na akiri za kindezi hizi kazi tunayo. Kibakuri sana wewe.
 
Back
Top Bottom