GE2025 Dkt Mwinyi achangia Milioni 50 Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025

GE2025 Dkt Mwinyi achangia Milioni 50 Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi amechangia Milioni 50 Harambee ya kuchangia kampeni za CCM 2025 Harambee hii inalenga kukusanya shilingi bilioni 100 kwa ajili ya maandalizi ya kampeni, ikiwemo gharama za magari, mabango, mafuta, fulana na kanga.

 
Anatoa mfuko huu(kulia) anaweka mfuko ule(kushoto)
 
Back
Top Bottom