Habari za Zanzibar
JF-Expert Member
- Dec 18, 2024
- 261
- 199
πππ§. π πͺπππ¨ππ¨ πππππ¨π ππππ π¬π π¨πππππ¦ππππ π‘π π¨π¦ππ ππππππ πͺπ π πππ π₯π¨π©π¨ ππππ‘π
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Desemba 29, 2025 amekagua hali za uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoani Pwani.
Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa maji unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi, Serikali ilianza utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
βMipango hii ya ujenzi wa miradi inayolenga kukabiliana na changamoto ya upungufu wa maji ilianza muda mrefu, Serikali iliona na ilianza kutafuta majawabu ya hali hii miaka mitatu iliyopita kwa kujenga miradi mikubwa itakayotoa matokeo chanyaβ Amesema Dkt. Mwigulu
Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba Desemba 29, 2025 amekagua hali za uzalishaji na usambazaji wa maji eneo la Ruvu Chini, mkoani Pwani.
Akizungumza baada ya ukaguzi huo, Mheshimiwa Dkt. Mwigulu amesema kuwa ili kukabiliana na changamoto ya upungufu wa maji unaotokana na mabadiliko ya tabia nchi, Serikali ilianza utekelezaji wa miradi mbalimbali ya maji katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita.
βMipango hii ya ujenzi wa miradi inayolenga kukabiliana na changamoto ya upungufu wa maji ilianza muda mrefu, Serikali iliona na ilianza kutafuta majawabu ya hali hii miaka mitatu iliyopita kwa kujenga miradi mikubwa itakayotoa matokeo chanyaβ Amesema Dkt. Mwigulu
Attachments
-
IMG-20251230-WA0070.jpg150.9 KB · Views: 11 -
IMG-20251230-WA0073.jpg207.5 KB · Views: 6 -
IMG-20251230-WA0074.jpg248.6 KB · Views: 5 -
IMG-20251230-WA0075.jpg163 KB · Views: 5 -
IMG-20251230-WA0069.jpg235.3 KB · Views: 9 -
IMG-20251230-WA0071.jpg241.1 KB · Views: 6 -
IMG-20251230-WA0069(1).jpg235.3 KB · Views: 8