nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Mheshimiwa tunakuomba usimame kwenye safu yako.
Mwache mh Suluhu afanye kazi aliyotumwa.
Usilete mfumo dume utakao mmeza Rais Mama Samia akashindwa kutekeleza yampasayo.
Nimekuona na kuusikiliza wakati wa kuthibitishwa na bunge na baada ya kuapishwa.
Kuna viashiria vya kujiona ndiye Rais kamili.
Tunakufahamu vizuri sana wewe binafsi lakini kama haitoshi waha ni watu wataka kitawala na kuongoza na siyo kuongozwa.
Tabia hii ndiyo inayowapa kina Zitto, Kafulila, Machali na wengine.
Kwa hayati chukua yaliyo mema ambayo watu wamelalamjkia yaache kabisa
Mwache mh Suluhu afanye kazi aliyotumwa.
Usilete mfumo dume utakao mmeza Rais Mama Samia akashindwa kutekeleza yampasayo.
Nimekuona na kuusikiliza wakati wa kuthibitishwa na bunge na baada ya kuapishwa.
Kuna viashiria vya kujiona ndiye Rais kamili.
Tunakufahamu vizuri sana wewe binafsi lakini kama haitoshi waha ni watu wataka kitawala na kuongoza na siyo kuongozwa.
Tabia hii ndiyo inayowapa kina Zitto, Kafulila, Machali na wengine.
Kwa hayati chukua yaliyo mema ambayo watu wamelalamjkia yaache kabisa