nimekuelewa sana ndugu. tunamtaka mtu mwenye vigezo.
Hongera umekuwa muungwana bila kutukana!
Mimi UKAWA hata wakisimamisha gogo nitalipigia kura ili mradi nihakikishe CCM hairudi tena..!Mimi nilisoma Makoko Seminari lakini kura yangu nampa mgombea wa Ukawa hata kama wakisimamisha jiwe.
Acha ungedere hatuongozwi kwa udini na mtoto wa shule za kata atakua nani