Trump mwenyewe yupo freshCorona ipo haijaondoka ila nakubaliana na wewe imetumika kisiasa zaidi na wamekuza mambo na kutisha watu ila corona ipo, uzuri sisi population kubwa ni vijana, na kuna watu mpaka leo wakipima ndio utasikia labda anaambiwa positive, hata yeye anashangaa niko fresh ana jitenga hapati dalili zozote baada ya muda anapima negative. Sasa wa namna hiyo ni wengi sana, tumepata au tunapata na inaisha bila hata kujijuwa. Magufuli alichosaidia kuondoa ile hofu kama kiongozi lakini ndio dunia ilitakiwa hivyo, ila media zimekalia masaa 24 corona alfu moja wanakufa kila siku maambukizi alfu 10 muhimu kuwatisha watu tu. Wazee hatari kwako maskini wazee hofu ikawaingia wakafariki wengi tu. sidharau corona kama sidharau malaria ila asilimia kubwa wameuliza na hizi media za dunia. huko USA kwa kuwa media hazimpendi huyu mzee basi wanatumia karata ya corona kuonesha watu wasingekufa kama Trump angefanya hivi... zote ni siasa baada ya uchaguzi hutasikia tena. mimi nikiona habari wanaongelea corona tu nabadili.
Hivi Dr. Marealle amekufa na nini vile?Kumbe corona Magufuli ndio aliyeiondosha.
KWANI UKIENDA HOSPITALI UKATIBIWA UKAPONA, UNAHAMIA HAPO HOSPITALI..? KAMA CORONA IMEISHA BASI TUTAMTAFUTA TENA ITAKAPORUDI....Mwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China
Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk
Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.
Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili
Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.
Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.
Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.
Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake
Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19
Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020
Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu
Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli
Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita
YABISO CANIDAA?
CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020
Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania
View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690
ALIYETENGENEZA DAWA YA MALARIA NAYE AJE AOMBE KURA AU.......Corona ipo haijaondoka ila nakubaliana na wewe imetumika kisiasa zaidi na wamekuza mambo na kutisha watu ila corona ipo, uzuri sisi population kubwa ni vijana, na kuna watu mpaka leo wakipima ndio utasikia labda anaambiwa positive, hata yeye anashangaa niko fresh ana jitenga hapati dalili zozote baada ya muda anapima negative. Sasa wa namna hiyo ni wengi sana, tumepata au tunapata na inaisha bila hata kujijuwa. Magufuli alichosaidia kuondoa ile hofu kama kiongozi lakini ndio dunia ilitakiwa hivyo, ila media zimekalia masaa 24 corona alfu moja wanakufa kila siku maambukizi alfu 10 muhimu kuwatisha watu tu. Wazee hatari kwako maskini wazee hofu ikawaingia wakafariki wengi tu. sidharau corona kama sidharau malaria ila asilimia kubwa wameuliza na hizi media za dunia. huko USA kwa kuwa media hazimpendi huyu mzee basi wanatumia karata ya corona kuonesha watu wasingekufa kama Trump angefanya hivi... zote ni siasa baada ya uchaguzi hutasikia tena. mimi nikiona habari wanaongelea corona tu nabadili.
Walaji wa rambirambi hawana nafasi !🤣🤣🤣🤣Mwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China
Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk
Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.
Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili
Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.
Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.
Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.
Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake
Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19
Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020
Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu
Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli
Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita
YABISO CANIDAA?
CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020
Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania
View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690
Katoe wewe kama unazo.Mbona hamtoi takwimu za walikufa na corona mpaka leo?
Ukisoma thread za watu wapuuzi kama hawa unaweza sema tunaongozwa na malaika Gabriel
Akili zako zinakutosha mwenyewe. Kakojoe ulale.Mwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China
Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk
Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.
Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili
Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.
Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.
Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.
Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake
Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19
Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020
Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu
Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli
Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita
YABISO CANIDAA?
CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020
Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania
View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690
Hivi unawajua madictator we au unaropoka tu 😎Hakuna nafasi kwa dikteta tena tumechoka.
Mbona takwimu zilikuwa zinatoka ww ulikuwa umecnzia wapMbona hamtoi takwimu za walikufa na corona mpaka leo?
Kuna watu mnauliza maswali katika mfumo wa kitoto sana, kila Rais ana kipaumbele chake katika utekelezaji wa mambo labda tu nikujibu ivoView attachment 1597902
Hakuliona hili tatizo miaka mitano iliyopita.
Huu ujinga ndio munao mwaminisha mzee wa watu kwa ajili ya kulinda ugali wenu shame on you kura yangu inaenda na lisuMwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China
Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk
Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.
Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili
Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.
Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.
Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.
Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake
Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19
Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020
Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu
Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli
Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita
YABISO CANIDAA?
CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020
Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania
View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690