Uchaguzi 2020 Dkt. Magufuli gwiji la lilitokomeza virusi vya Corona na kuushangaza ulimwengu; Oktoba 28 anastahili ushindi wa kishindo

Corona ipo haijaondoka ila nakubaliana na wewe imetumika kisiasa zaidi na wamekuza mambo na kutisha watu ila corona ipo, uzuri sisi population kubwa ni vijana, na kuna watu mpaka leo wakipima ndio utasikia labda anaambiwa positive, hata yeye anashangaa niko fresh ana jitenga hapati dalili zozote baada ya muda anapima negative. Sasa wa namna hiyo ni wengi sana, tumepata au tunapata na inaisha bila hata kujijuwa. Magufuli alichosaidia kuondoa ile hofu kama kiongozi lakini ndio dunia ilitakiwa hivyo, ila media zimekalia masaa 24 corona alfu moja wanakufa kila siku maambukizi alfu 10 muhimu kuwatisha watu tu. Wazee hatari kwako maskini wazee hofu ikawaingia wakafariki wengi tu. sidharau corona kama sidharau malaria ila asilimia kubwa wameuliza na hizi media za dunia. huko USA kwa kuwa media hazimpendi huyu mzee basi wanatumia karata ya corona kuonesha watu wasingekufa kama Trump angefanya hivi... zote ni siasa baada ya uchaguzi hutasikia tena. mimi nikiona habari wanaongelea corona tu nabadili.
 
Corona ipo haijaondoka ila nakubaliana na wewe imetumika kisiasa zaidi na wamekuza mambo na kutisha watu ila corona ipo, uzuri sisi population kubwa ni vijana, na kuna watu mpaka leo wakipima ndio utasikia labda anaambiwa positive, hata yeye anashangaa niko fresh ana jitenga hapati dalili zozote baada ya muda anapima negative. Sasa wa namna hiyo ni wengi sana, tumepata au tunapata na inaisha bila hata kujijuwa. Magufuli alichosaidia kuondoa ile hofu kama kiongozi lakini ndio dunia ilitakiwa hivyo, ila media zimekalia masaa 24 corona alfu moja wanakufa kila siku maambukizi alfu 10 muhimu kuwatisha watu tu. Wazee hatari kwako maskini wazee hofu ikawaingia wakafariki wengi tu. sidharau corona kama sidharau malaria ila asilimia kubwa wameuliza na hizi media za dunia. huko USA kwa kuwa media hazimpendi huyu mzee basi wanatumia karata ya corona kuonesha watu wasingekufa kama Trump angefanya hivi... zote ni siasa baada ya uchaguzi hutasikia tena. mimi nikiona habari wanaongelea corona tu nabadili.
Trump mwenyewe yupo fresh
 
Mwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China

Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk

Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.

Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili

Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.

Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.

Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.

Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake

Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19

Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020

Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu

Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli

Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita

YABISO CANIDAA?

CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020

Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania



View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690
KWANI UKIENDA HOSPITALI UKATIBIWA UKAPONA, UNAHAMIA HAPO HOSPITALI..? KAMA CORONA IMEISHA BASI TUTAMTAFUTA TENA ITAKAPORUDI....
 
Corona ipo haijaondoka ila nakubaliana na wewe imetumika kisiasa zaidi na wamekuza mambo na kutisha watu ila corona ipo, uzuri sisi population kubwa ni vijana, na kuna watu mpaka leo wakipima ndio utasikia labda anaambiwa positive, hata yeye anashangaa niko fresh ana jitenga hapati dalili zozote baada ya muda anapima negative. Sasa wa namna hiyo ni wengi sana, tumepata au tunapata na inaisha bila hata kujijuwa. Magufuli alichosaidia kuondoa ile hofu kama kiongozi lakini ndio dunia ilitakiwa hivyo, ila media zimekalia masaa 24 corona alfu moja wanakufa kila siku maambukizi alfu 10 muhimu kuwatisha watu tu. Wazee hatari kwako maskini wazee hofu ikawaingia wakafariki wengi tu. sidharau corona kama sidharau malaria ila asilimia kubwa wameuliza na hizi media za dunia. huko USA kwa kuwa media hazimpendi huyu mzee basi wanatumia karata ya corona kuonesha watu wasingekufa kama Trump angefanya hivi... zote ni siasa baada ya uchaguzi hutasikia tena. mimi nikiona habari wanaongelea corona tu nabadili.
ALIYETENGENEZA DAWA YA MALARIA NAYE AJE AOMBE KURA AU.......
 
Ulizia madaktari ndo wanajua Siri na sio mwanasiasa anaetafuta kura kushibisha tumbo lake. Usiache kutoendelea kuchukua taadhari
 
Alex Fredrick ,umesahau kutuzungumzia wanamichezo tunavyojaa uwanjani kucheki Simba na Yanga wanavyokiamsha.Akati Ulaya fainali ya UEFA uwanja ulikuwa hauna mashabiki kabisa mpaka mpira unakosa rahaa.
 
Mleta mada kwa heshima na taadhima na kwa unyenyekevu mkubwa naomba ikikupendeza niupe uwezo wako wa kufikiri chini sana ya mediocre.
 
Mwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China

Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk

Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.

Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili

Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.

Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.

Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.

Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake

Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19

Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020

Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu

Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli

Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita

YABISO CANIDAA?

CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020

Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania



View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690
Walaji wa rambirambi hawana nafasi !🤣🤣🤣🤣
 
Mwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China

Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk

Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.

Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili

Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.

Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.

Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.

Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake

Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19

Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020

Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu

Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli

Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita

YABISO CANIDAA?

CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020

Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania



View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690
Akili zako zinakutosha mwenyewe. Kakojoe ulale.
 
Mwishoni wa mwaka jana Dunia iliingia kiwewe baada ya kuripotiwa ugonjwa wa virus vya Corona huko Mji wa Wuhan Nchini China

Badae maambukizi yakaenea kwa kasi Ulaya hasa Italy na nchi jirani kama Spain, Ufaransa nk

Hatimaye Marekani, Brazil, Urusi na India ndo wamekuwa virana wa maambukizi ya virus vya corona sasa.

Marekani pamoja na Rais Donald Trump kufanya mambo makubwa ndani ya miaka yake minne tu lakini swala la kuzembea kuchukua tahadhari dhidi ya virusi vya Corona linatishia kuweza kurudi tena kama Rais kwenye ngwe yake ya pili

Barani Africa virusi vilivyoingia tu Nchini Tanzania kupitia Rais wetu Dr John Pombe Magufuli akaja na maazimio mawili ambayo Dunia nzima haikumuelewa.

Pale aliposema Tufunge kama Taifa kwaajili ya maombi kwa Mungu na pili kuhoji ofisi ya maabara ya Taifa jinsi gani wanavyopima sampuli vya virus vya Corona.

Dunia ilitucheka sana na majirani zetu wakatubeza kiasi kwamba Gazeti moja nchini Kenya lilisema Magufuli ni "Kichaa na kina Bill Gates wakatabiri kwamba Africa muda mrefu maiti zitakuwa zinaanguka barabarani.

Kamanda wa vita na Jemedari Mkuu Kilongora Dr John Pombe Magufuli akaziba Masikio na kutoa tamko kwamba hii ni vita kwahiyo kila mtu apambane kivyake

Hatimaye chini ya Dr John Pombe Magufuli tuliishinda Covid 19 kwa 100% ndani ya muda mfupi sana na Dunia kuanza kutushangaa imekuwaje Rais Magufuli ameiishinda Covid 19

Rais wetu Dr John Pombe Magufuli amefanya mambo makubwa mno ndani ya miaka mitano kiasi kwamba sina mashaka na kushinda tena tarehe 28 October 2020

Lakini hili ya virusi vya Corona limeonyesha Tanzania tuna kiongozi mahiri,jasiri na zaidi mwenye maamuzi magumu kwa ustawi wa Taifa letu

Shime wa Tanzania wote tarehe 28 October 2020 kwa pamoja wale wote ambao tumejiandikisha tuende kwa ari kubwa kumpa kura za ndio mgombea kupitia Chama cha mapinduzi Dr John Pombe Magufuli

Week ijayo ntaeleza sababu zingine lukuki ambazo zinamfanya Dr John Pombe Magufuli kuendelea kuongoza Taifa hili miaka mingi ijayo zaidi ntajika kwa mambo ya maendeleo ndani ya miaka mitano iliyopita

YABISO CANIDAA?

CANDINDAA DR JOHN POMBE MAGUFULI OCTOBER 28 2020

Alex Fredrick
Dar es salaam Tanzania



View attachment 1597682View attachment 1597685View attachment 1597690
Huu ujinga ndio munao mwaminisha mzee wa watu kwa ajili ya kulinda ugali wenu shame on you kura yangu inaenda na lisu
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom