Old guard
JF-Expert Member
- Dec 15, 2020
- 1,488
- 2,695
Mimi sintosema chochote,nmemuachia Mungu apigane kwa niaba yangu.
Nakubali kuwajibika ‘kisiasa' siwez kuwakana wasaidizi wangu,lakin sikuiba pesa wala kufaidika 'binafsi' kwa namna yoyote ile, lakin pia mimi sikuwa 'afisa masuuli' na hivyo sikuhusika kuhidhinisha pesa.;@HKigwangala
Nakubali kuwajibika ‘kisiasa' siwez kuwakana wasaidizi wangu,lakin sikuiba pesa wala kufaidika 'binafsi' kwa namna yoyote ile, lakin pia mimi sikuwa 'afisa masuuli' na hivyo sikuhusika kuhidhinisha pesa.;@HKigwangala