Kingwaba Mazegenuka
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 587
- 947
Hayo ndiyo waliyokubaliana ni haki yao hawajavunja sheria ya nchi.Chama gani cha demokrasia kinakwepa misingi ya kidemokrasia ya kuachiana kijiti? Kukosa ukomo ni ukomunisti huo
Hayo ndiyo waliyokubaliana ni haki yao hawajavunja sheria ya nchi.Chama gani cha demokrasia kinakwepa misingi ya kidemokrasia ya kuachiana kijiti? Kukosa ukomo ni ukomunisti huo
Sasa hapo kuna hoja gani zaidi ya ushuziJibu hoja yake wewe.
Hili alilolisema kuhusu Mbowe na maelezo yakoo kuhusu Kijijini kwao yanashabihiana vipi?Anajulikana Kama changamsha genge ukipenda mwite mzee wa nje ya box..
Unakuta kijijini nzega Kuna uhaba wa madawati yaan wanafunzi wanakaa chini na wanakijiji wake wanachangia maji na mifugo very shame..
Sasa bwana kigwangala vipi? Wewe ni ccm au chadema?Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe
Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema
Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule
Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.
View attachment 2995118
Haikuhusu, pambana na fomu Moja ya uraisHuenda Mbowe ni kama Mrema, ni CCM daraja la kwanza.
Mbona Lisu amekuwa mgombea Urais ,Sasa inahusikaje na ccm mara Mbowe?Ukweli ni kwamba CCM inatamani sana mbowe aendeleee kukaa kitini
(They are just pretending)
We mziki wa Lissu unauonaje??
Kwan Chadema imeanzishwa na Mbowea? Huyo unayesema kaachia madaraka kwenye chama kichanga hv unamjua vzr ?. Kaangalia upepo anacheza na gap kawauzia waZanzibar chama alipoona hawataki Muungano kachomoka atasimamaje jukwaani awaunge mkono kwamba Muungano hawataki na yeye c wa Zanzibar na chama kimekuwa na nguvu huko Kwa ajili ya Seif kwani hili c hata mm wa std vii nimeweza kifikiri? Kigwa tulia kama unaijua kuachiana madaraka usigombee 2025 wallah ujue we kidume.😆😆😆😆😆 Yaani Mbowe aanzishe Saccos yake afu useme amuachie mtu wa kuja kutoka huko Nccr Lisu?
Pilipili usiyoila inakuwashia nin?,dili na ccm yenu huku tuachie sisi wanachama,tumeamua sisi aendelee kuwa mwenyekiti wa CHADEMASawa alifanya ujinga, je inahalalisha Mbowe kuongoza chadema bila kikomo!?,nimeanza kuhisi Mbowe analipa vijana na wazee mitandaoni kupinga na kutukana kila anayehoji uenyekiti wake kufika mwisho. Angalia hii thread mlivyomvamia Kigwangala personally. Hakuna anayeelezea Mbowe kuachia uenyekiti. 2022 Mbowe alitamka mwenyewe mwaka Jana 2023 ndo mwisho wake kuwa mwenyekiti. Hadi Leo May 2024 anapambana kuendelea kuwa mwenyekiti.
Huu ndio ukweli ambao chadema wanajaribu kuupindisha.Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.
Kwahiyo kwa akili yako kila mtanzania lazima awe chadema au ccm?!?,asiye na chama haruhusiwi kutoa maoni kuhusu chadema au ccm!?,mnazidi kuonyesha kuwa mmemwagwa mtandaoni kutetea uenyekiti wa Mbowe kwa gharama zozote. Chama Cha demokrasia kisichotaka watu watoe maoni kuhusu ukomo wa cheo Cha mwenyekiti wa chama. Acha ccm iendelee kuwaburuza tu kwa akili hizi.Pilipili usiyoila inakuwashia nin?,dili na ccm yenu huku tuachie sisi wanachama,tumeamua sisi aendelee kuwa mwenyekiti wa CHADEMA
Ukijua Kwanin Vladimir Putin na Benjamin Netanyahu wameendelea kuongoza nchi zao kila baada ya kipindi vyao vya uongozi kupita?,ukipata jibu hapo basi ndio sababu hio hio inamfanya Mbowe aendelee kuwa mwenyekiti wa CHADEMAKama nilivyomjibu Kamanda Allen Kilewella hapo juu, CHADEMA mnatakiwa mjenge utambulisho wenu ili kujitofautisha na ccm. Mnapoanza kujilinganisha na ccm, mnapoteza ule utofauti na wao.
Na badala yake wananchi watawaona wote ni wale wale tu.
Shangaa na wewe,hawa watu wanajua Mbowe akitoka pale CHADEMA wana nafasi ya kuweka mapandikizi yaoHivi ni kweli kuwa Ccm hamuwezi kuendesha chama chenu wakati mbowe ni mwenyekit? Yaani uenyekiti wa Mbowe Ccm ndiyo wanaumia sana kuliko hata hao Chadema
Unaandika haya ukiwa umekalia kigogo kwa wap?🤧🚮Kwahiyo kwa akili yako kila mtanzania lazima awe chadema au ccm?!?,asiye na chama haruhusiwi kutoa maoni kuhusu chadema au ccm!?,mnazidi kuonyesha kuwa mmemwagwa mtandaoni kutetea uenyekiti wa Mbowe kwa gharama zozote. Chama Cha demokrasia kisichotaka watu watoe maoni kuhusu ukomo wa cheo Cha mwenyekiti wa chama. Acha ccm iendelee kuwaburuza tu kwa akili hizi.
Hawezi kuachia uenyekiti kwa matakwa ya wana CCM ,Ni wazi Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Chadema unafuatiliwa zaidi na viongozi wa CCM kuliko Wanachadema wenyewe
Dkt. Kigwangalla amechachamaa ukurasani X akidai Mbowe hataki kuachia Uenyekiti wa Chadema
Anasema ACT wazalendo ni Chama kidogo lakini tayari Kiongozi mkuu amestaafu baada ya mihula miwili lakini Chadema Mwenyekiti ni yule yule
Zitto alijaribu kugombea Uenyekiti lakini Mbowe akamfukuza uanachama, sasa kaka yangu Tundu Lisu naye ajiangalie huyu Mwenyekiti aitwe Kabaka Mbowe au Ayatollah Mbowe, amesema Daktari Bingwa Kigwangalla.
View attachment 2995118
Mwisho wa siku umeonyesha akili yako ilivyojaa mavi na funza kichwani. Ukiona mtu anakimbilia matusi ujue ndo mwisho wake wa kufikiri. Haya endelea kumpikia Mbowe. Ila uenyekiti wake upo mwishoni, amini usiamini.Unaandika haya ukiwa umekalia kigogo kwa wap?🤧🚮