Dkt. Idrisa Rashid aliyewahi kuwa MD TANESCO yuko wapi?

Babe la mji

JF-Expert Member
Dec 14, 2019
983
2,053
Nakumbuka alikua mbunifu Sana na mzalendo kwelikweli .Nazani kilichomuondoa no siasa katika kazi je alienda wapi? Na anfanya nini siku hizi?

Na Kama sijakosea huyu alikua mchumi mbobezi.Wadau vipi mnajua tatizo gani lilisababisha akaondoka wakati alikua na uwezo mkubwa wa kuliendesha shirika.

Nawakaribisha maana penye wengi Kuna mengi pia.

Asanteni
 
Babe la mji,
Kama unaongelea Idriss Rashid Msabaha hili jamaa lilikuwa fisadi na lihujumu uchumi la kupindukia. Lilikuwa linafungulia maji bwawa la kidatu na mtera yanaisha ili nchi inunue umeme wa mafuta wa mabeberu na IPTL kwa kushinikiza nchi itaingia gizani.

Pia linaingia deals za wauza magenerator kwa kukatakata ovyo umeme ili watu wanunue magenerator! Hili lijamaa sio la kukumbukwa kabisa!
 
Kama unaongelea Idriss Rashid Msabaha hili jamaa lilikuwa fsadi na lihujumu uchumi la kupindukia. Lilikuwa linafungulia maji bwawa la kidatu na mtera yanaisha ili nchi inunue umeme wa mafuta wa mabeberu na IPTL kwa kushinikiza nchi itaingia gizani. Pia linaingia deals za wauza magenerator kwa kukatakata ovyo umeme ili watu wanunue magenerator! Hili lijamaa sio la kukumbukwa kabisa!

Duuhh
 
Kama unaongelea Idriss Rashid Msabaha hili jamaa lilikuwa fsadi na lihujumu uchumi la kupindukia. Lilikuwa linafungulia maji bwawa la kidatu na mtera yanaisha ili nchi inunue umeme wa mafuta wa mabeberu na IPTL kwa kushinikiza nchi itaingia gizani. Pia linaingia deals za wauza magenerator kwa kukatakata ovyo umeme ili watu wanunue magenerator! Hili lijamaa sio la kukumbukwa kabisa!
Ni wakukumbukwa tu Idris ni shujaa. Watanzania hatuitaji umeme kwa sasa umeme ni anasa. Kuna viwanda gani sasa nchini vinahitaji umeme?

Hii nchi chini ya huu utawala dhalimu ni reject tunaishi tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Mwanga wa jua na mwezi unatutosha. Mbona mababu zetu walikuwa hawana umeme na maisha yao yalikuwa siyo ya shida na furaha ukilinganisha na utawala huu dhalimu wa kisoro chini ya SADDIST aliyekubuhu
 
Ni wakukumbukwa tu Idris ni shujaa. Watanzania hatuitaji umeme kwa sasa umeme ni anasa. Kuna viwanda gani sasa nchini vinahitaji umeme?

Hii nchi chini ya huu utawala dhalimu ni reject tunaishi tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Mwanga wa jua na mwezi unatutosha. Mbona mababu zetu walikuwa hawana umeme na maisha yao yalikuwa siyo ya shida na furaha ukilinganisha na utawala huu dhalimu wa kisoro chini ya SADDIST aliyekubuhu
Duh. Mkuu taratibu bas. Yaan watanzania hamuhitaji umeme.!!? Pole sana. Sisi wengine tunauhitaji tena sana mkuu. Na bahat mbaya hatujakuchagua ww kuwa msemaji wetu. Kwa hiyo funga tu domo lako hilo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakumbuka alikua mbunifu Sana na mzalendo kwelikweli .Nazani kilichomuondoa no siasa katika kazi je alienda wapi? Na anfanya nini siku hizi ? Na Kama sijakosea huyu alikua mchumi mbobezi.Wadau vipi mnajua tatizo gani lilisababisha akaondoka wakati alikua na uwezo mkubwa wa kuliendesha shirika .Nawakalibisha maana penye wengi Kuna mengi pia.Asanteni

Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu si ndio alikuwa Gavana wa benki kuu...ndie alivurugana na watu kuhusu sakata la CHAVDA na mashamba ya mkonge. Kashfa iliyokuwa mtaji wa mzee wa NJI HII Mrema. Ndio aliwahi kuwa MD wa Tanesco kama sikosei ndie aliyeleta mradi wa Luku na NET Solutions. Kuna kipindi alikuwa na kituo chake cha mafuta pale kimara suka kafanana na Miguna Miguna.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyu si ndio alikuwa Gavana wa benki kuu...ndie alivurugana na watu kuhusu sakata la CHAVDA na mashamba ya mkonge. Kashfa iliyokuwa mtaji wa mzee wa NJI HII Mrema. Ndio aliwahi kuwa MD wa Tanesco kama sikosei ndie aliyeleta mradi wa Luku na NET Solutions. Kuna kipindi alikuwa na kituo chake cha mafuta pale kimara suka kafanana na Miguna Miguna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli kabisa unalifahamu vizuri Idrissa Msabaha! Liko limeinamisha bichwa lake chini na likiinua bichwa JPM atalipatia za uso za kutosha. Lilikaribishwa bungeni litoe hali halisi ya umeme kutokana na madai heti kina cha mabwawa ya umeme yamekauka kau ni tope tu kwahiyo serikali iruhusu makampuni ya kigeni yalete mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta kwa gharama ya kufirisi nchi kisa eti nchi itaingia gizani! Ndo michakato na mwanzo wa mitambo ya umeme wa mabeberu pale ubungo maziwa nyuma ya song_gas
 
Sisi wenye viwanda ndo tunajua umuhimu wa umeme.
Mda huu nipo nafanya uzalishaji ambao ulitakiwa uishe saa 4 usiku.
Ila kutokana na upuuzi wa nchi hii umeme ukifika saa moja ni mdogo hauna uwezo wa kuwasha machines, mpaka ikifika saa 6 usiku mambi yanakuwa poa.
Hii nchi ya ajabu sana umeme imekuwa ni anasa.
Ni wakukumbukwa tu Idris ni shujaa. Watanzania hatuitaji umeme kwa sasa umeme ni anasa. Kuna viwanda gani sasa nchini vinahitaji umeme?

Hii nchi chini ya huu utawala dhalimu ni reject tunaishi tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Mwanga wa jua na mwezi unatutosha. Mbona mababu zetu walikuwa hawana umeme na maisha yao yalikuwa siyo ya shida na furaha ukilinganisha na utawala huu dhalimu wa kisoro chini ya SADDIST aliyekubuhu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sisi wenye viwanda ndo tunajua umuhimu wa umeme.
Mda huu nipo nafanya uzalishaji ambao ulitakiwa uishe saa 4 usiku.
Ila kutokana na upuuzi wa nchi hii umeme ukifika saa moja ni mdogo hauna uwezo wa kuwasha machines, mpaka ikifika saa 6 usiku mambi yanakuwa poa.
Hii nchi ya ajabu sana umeme imekuwa ni anasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Bongo hamna viwanda bana ni majengo ya wajasiria malimali wadogowadogo.
 
Babe la mji,
Kama unaongelea Idriss Rashid Msabaha hili jamaa lilikuwa fisadi na lihujumu uchumi la kupindukia. Lilikuwa linafungulia maji bwawa la kidatu na mtera yanaisha ili nchi inunue umeme wa mafuta wa mabeberu na IPTL kwa kushinikiza nchi itaingia gizani.

Pia linaingia deals za wauza magenerator kwa kukatakata ovyo umeme ili watu wanunue magenerator! Hili lijamaa sio la kukumbukwa kabisa!
Umechanganya watu wawili tofauti.

Dr. Idris Rashid aliyekuwa Gavana wa Benki kuu na MD TANESCO na Dr. Ibrahim "Bangusilo" Msabaha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa unalifahamu vizuri Idrissa Msabaha! Liko limeinamisha bichwa lake chini na likiinua bichwa JPM atalipatia za uso za kutosha. Lilikaribishwa bungeni litoe hali halisi ya umeme kutokana na madai heti kina cha mabwawa ya umeme yamekauka kau ni tope tu kwahiyo serikali iruhusu makampuni ya kigeni yalete mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta kwa gharama ya kufirisi nchi kisa eti nchi itaingia gizani! Ndo michakato na mwanzo wa mitambo ya umeme wa mabeberu pale ubungo maziwa nyuma ya song_gas
Kwa maelezo yako ya kiundani sana, huyo jamaa unamfahamu kwa 100%.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kama upo nje ya mada vile.Au akili zako zimekuongoza kuwa uko sahihi kwa uliyoyasema?

Hebu soma alichouliza mleta uzi na jinsi wewe ulivyojibu.

Ni kama vile umelipuka kimhemuko kujibu vitu nje ya mada!!

Hebu tuliza akili urudi tena kujibu alichouliza mleta uzi.
Ni wakukumbukwa tu Idris ni shujaa. Watanzania hatuitaji umeme kwa sasa umeme ni anasa. Kuna viwanda gani sasa nchini vinahitaji umeme?

Hii nchi chini ya huu utawala dhalimu ni reject tunaishi tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Mwanga wa jua na mwezi unatutosha. Mbona mababu zetu walikuwa hawana umeme na maisha yao yalikuwa siyo ya shida na furaha ukilinganisha na utawala huu dhalimu wa kisoro chini ya SADDIST aliyekubuhu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kweli kabisa unalifahamu vizuri Idrissa Msabaha! Liko limeinamisha bichwa lake chini na likiinua bichwa JPM atalipatia za uso za kutosha. Lilikaribishwa bungeni litoe hali halisi ya umeme kutokana na madai heti kina cha mabwawa ya umeme yamekauka kau ni tope tu kwahiyo serikali iruhusu makampuni ya kigeni yalete mitambo ya kuzalisha umeme kwa kutumia mafuta kwa gharama ya kufirisi nchi kisa eti nchi itaingia gizani! Ndo michakato na mwanzo wa mitambo ya umeme wa mabeberu pale ubungo maziwa nyuma ya song_gas
Niyeye ndie aliyesema mitambo ya Iptl na dowance ununuliwe na serikali badala yake baadhi ya wabunge wakajifanya ni mitambo chakavu,nadha baadae mitambo ikabakia kwa Iptl tukaanza kupigwa hadi Leo tunalialia na singset

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unachanganya watu wawili tofauti, Dr Msabaha alikuwa waziri wa nishati na madini na sakata la richmond ndiyo lilimng'oa na Gavana Idris Rashid alikuwaga mkurugenzi wa Tanesco pia aling'olewa na vuguvugu hilohilo la Richmond lililomuondoa mamvi uwaziri mkuu
Babe la mji,
Kama unaongelea Idriss Rashid Msabaha hili jamaa lilikuwa fisadi na lihujumu uchumi la kupindukia. Lilikuwa linafungulia maji bwawa la kidatu na mtera yanaisha ili nchi inunue umeme wa mafuta wa mabeberu na IPTL kwa kushinikiza nchi itaingia gizani.

Pia linaingia deals za wauza magenerator kwa kukatakata ovyo umeme ili watu wanunue magenerator! Hili lijamaa sio la kukumbukwa kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni wakukumbukwa tu Idris ni shujaa. Watanzania hatuitaji umeme kwa sasa umeme ni anasa. Kuna viwanda gani sasa nchini vinahitaji umeme?

Hii nchi chini ya huu utawala dhalimu ni reject tunaishi tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Mwanga wa jua na mwezi unatutosha. Mbona mababu zetu walikuwa hawana umeme na maisha yao yalikuwa siyo ya shida na furaha ukilinganisha na utawala huu dhalimu wa kisoro chini ya SADDIST aliyekubuhu
Aiseee!
 
Huyu si ndio alikuwa Gavana wa benki kuu...ndie alivurugana na watu kuhusu sakata la CHAVDA na mashamba ya mkonge. Kashfa iliyokuwa mtaji wa mzee wa NJI HII Mrema. Ndio aliwahi kuwa MD wa Tanesco kama sikosei ndie aliyeleta mradi wa Luku na NET Solutions. Kuna kipindi alikuwa na kituo chake cha mafuta pale kimara suka kafanana na Miguna Miguna.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimecheka sana eti kafanana na Miguna Miguna. Hivi baadae alikuja kuwa MD wa Amana Bank kabla ya huyu wa sasa Dr. Muhsin Masoud?
 
Back
Top Bottom