Dkt. Gharib Bilal ndani ya tamasha la matumaini

Dkt. Gharib Bilal ndani ya tamasha la matumaini

Joined
Aug 6, 2014
Posts
7
Reaction score
3
Tamasha la matumaini.jpg
Tamasha la Matumaini lililoandaliwa na Global Publisher Limited kwa mwaka wa tatu mfululizo limefanyika siku ya jana ndani Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na kuwavutia watu wengi kutokana na burudani mbalimbali zilizotolewa uwanjani hapo.

Hakika Watanzania wanapenda nchi yao na ni Wazalendo halisi kutokana na kuitikia wito wa jana wa Tamasha la Matumaini lililofanyika jana Uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam. Katika sherehe hiyo aliongoza mgeni rasmi Makamu wa rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Dkt. Galib Bilal na baadhi ya viongozi walioambatana nao pamoja na mwenyeji au muandaaji wa shughuli yenyewe Eric Shigongo.

Matamasha la Matumaini limerudisha tena umoja na amani kama ulivyokuwepo hapo awali kwa raia kupendana na kusaidiana bila kujali udini wala kisiasa.
 
HIVI UYO BILAL C ALKUA MWALIMU CHUO KIKUU DAR?

Je ni funzo gan anawapa walio vyuoni?
 
Vipi alikuwa na mkasi wake wa kukata utepe?
 
Vipi alikuwa na mkasi wake wa kukata utepe?

Katiba mpya ingefuta nafasi ya makamu wa Rais maana ye ni kuzindua tu miaka 5.ndo maana tunataka serikali 3 kuondoa mzigo kwa walipa kodi.nafasi za Naibu wazir wakati kuna Katibu mkuu si wizi huu jamani ikiwa kila idara iko decentralized wizaran kuna kazi?
 
Back
Top Bottom