Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,464
Kwahiyo watu wakienguliwa ili wezi wa CCM wapite bila kupingwa nayo ni propaganda? Unataka kusema kile kilichofanyika kwenye uchaguzi mkuu ni propaganda hadi kusababisha leo hii kwenye tovuti ya tume ya uchaguzi hakuna matokeo ya uchaguzi ule?Mvua na kupiga kura ni vitu viwili tofauti . Kwenye kura huwa kuna propaganda nyingi sana.