PreGE2025 Dkt. Biteko kumpatia Tsh. 500,000 askari aliyemuongoza kwenye gwaride; Je, ni kununua uungwaji mkono wa kisiasa?

PreGE2025 Dkt. Biteko kumpatia Tsh. 500,000 askari aliyemuongoza kwenye gwaride; Je, ni kununua uungwaji mkono wa kisiasa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,410
Reaction score
4,988
''Kwenye tukio ambalo halikutarajiwa na wengi, Naibu Waziri Mkuu ambaye pia ni Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko, alisitisha hotuba yake ili kutoa heshima stahiki kwa askari aliyemtolea amri wakati wa kumuongoza kwenye gwaride.''

Hapa nina maswali ambayo ningependa kujibiwa na wanajukwaa

  • Je, zawadi hiyo ilikuwa na nia ya kushawishi maamuzi ya kisiasa au kupendelewa kisiasa?
  • Je, kuna ushahidi au viashiria vyovyote vinavyoonyesha kuwa kitendo hicho kilikuwa na lengo la kununua uungwaji mkono wa kisiasa?
  • Je, ni utaratibu wa kawaida kwa viongozi kutoa heshima kama hiyo au kulikuwa na kitu cha kipekee katika tukio hilo?

 
Huyu jamaa alipaswa atumike madhabahuni, yuko humble sana, siasa za maji taka za bongo hazimfai
 
Back
Top Bottom