nguruka wa kig0ma
JF-Expert Member
- Jan 16, 2020
- 2,946
- 2,929
Aendeshe gari kilevi apate ajali alafu ya kawaida!!!Muache ale, wanasiasa wote hata wasio bungeni wanatamani kwenda bungeni kutengeneza maisha yao, sio upinzani wala chama tawala, Bashiru aachwe kusimangwa kilichomkuta ni ajali tu za kisiasa ambazo huwakuta wengi.
Amelipwa anachostahili