Nipo tayari kutaja majina ya mahafisa usalama waliohusika katika kuvuruga uchaguzi kama majina hayo yatahitajika mahakamani-dk.Slaa azungumza akiwa Dodoma
Nipo tayari kutaja majina ya mahafisa usalama waliohusika katika kuvuruga uchaguzi kama majina hayo yatahitajika mahakamani-dk.Slaa azungumza akiwa Dodoma
Nipo tayari kutaja majina ya mahafisa usalama waliohusika katika kuvuruga uchaguzi kama majina hayo yatahitajika mahakamani-dk.Slaa azungumza akiwa Dodoma
Dk. anapaswa kuchukua hatua ya kuweka wazi upupu huu ili watanzania wapenda mabadiliko tujue namna ya kukabiliana nao. Hawa ni wahaini kwa mtazamo wangu kwa kutenda kazi kinyume na maadili yao lakini kuchukua jukumu la kuharibu usalama wa taifa. Dr. wataje bana...maana wakubwa wao wameshakuzodoa kwamba wa mbwatukaji tu na huna lolote. Hapo ndo mwanzo wa kuwa Shujaa wa Mbadiliko katika Tz yetu. Tutakuweka VIP ya ukombozi wa bongo