Hana jipya huyu
Jipya kwako ni kama lipi!!?
Hana jipya huyu
Wapumbavu CCM ni wengi sana. Maana hawajui hata haki za msingi za raia za kuilazimisha serikali kutimiza wajibu wake. Wanadhani kuilazimisha serikali kutimiza wajibu wake ni lazima uwe kiongozi wa CCM kama Kinana. Aibu kubwa!
Wananchi tuna haki, siyo tu kumtaka Rais amfukuze mkuu wa wilaya, tuna haki na uwezo wa kumtaka Rais amfukuze kiongozi yeyote yule alimradi ikithibitika utendaji wa kiongozi huyo hauna maslahi kwa umma. Na hapo Rais anachotakiwa au atekeleze matakwa ya umma au yeye mwenyewe aondoke.
Yeye ni nani mpaka aiagize Serikali!?? Serikali ina taratibu zake za kufanya kazi.
Acha bhana!
![]()