Dk. Slaa: DC Kiteto afukuzwe kazi

Dk. Slaa: DC Kiteto afukuzwe kazi

Wapumbavu CCM ni wengi sana. Maana hawajui hata haki za msingi za raia za kuilazimisha serikali kutimiza wajibu wake. Wanadhani kuilazimisha serikali kutimiza wajibu wake ni lazima uwe kiongozi wa CCM kama Kinana. Aibu kubwa!

Wananchi tuna haki, siyo tu kumtaka Rais amfukuze mkuu wa wilaya, tuna haki na uwezo wa kumtaka Rais amfukuze kiongozi yeyote yule alimradi ikithibitika utendaji wa kiongozi huyo hauna maslahi kwa umma. Na hapo Rais anachotakiwa au atekeleze matakwa ya umma au yeye mwenyewe aondoke.


Sio tu tunamamlaka ya kumtaka rais amfukuze mtu fulani kwa kutowajibika........

Raia tunahaki pia ya kumfukuza rais madarakan ikiwa ataenda kinyume na matakwa yetu raia!!! Tumemuweka pale afanye kwa maslahi yetu..
 
Yeye ni nani mpaka aiagize Serikali!?? Serikali ina taratibu zake za kufanya kazi.
Acha bhana!


attachment.php
 
Back
Top Bottom