Dk. Slaa awaangukia walimu

 

Mpumbavu kama wewe huoni aibu kuleta ujinga wa namna hii hapa JF?
 

Aha unajihami? Nakuuliza ww mwanaharamu je unajua maana ya ceusus?moja ni kujua idadi ya wanaostahil kujiandikisha kupiga kura.ACHA KUFUATA MKUMBO.
 
Wewe kilaza sana pumbavuuuu sana
umetumwa na ponda?
 
hautatukanwa bali utapewa somo. Sensa sio sera ya ccm bali ya Dunia. kwa kuwa cdm inajiandaa kushika Dola, ni vyema ikawa na takwimu angalau sahihi juu ya idadi ya watanzania ili iweze kufanya na kukadiria bajeti kwa mujibu wa takwimu hizo. kwa hiyo kwa vile jk anamsaidia Slaa kupata idadi ya watu, basi nae Slaa anamsaidia jk kuhamasisha kuhesabiwa, ok?
 
slaa ni kada wa CCM mzuri yupo upinzani kwa ajili ya kuyumbisha wapinzani, yupo kwa maslahi ya tumbo lake.

Haki ya Mungu kama aina ya maproccm ndo hiyo basi kimebaki chama cha wasanii.Kaazi kwelikweli.
 
Utapigaje kura bila kujua idadi yetu? Tunataka tumeisije danganya watu
 
Huo ndio ukweli wasioujua baadhi ya watz kuwa magumu ya nchi hii yanasababiswa na ccm
kitendo cha waislamu kugomea sensa ni rais wa tz ndiye wa kulaumiwa sababu sheikh ponda ni muumini mwenzake rais na anashindwa kuwachukulia hatua kama alivyofanya kwa mgomo wa madaktari na walimu huu ni uzembe na udhaifu wa kikkwete kama rais anaweka dini mbele kuliko taifa anaamini katika hilo ushahidi upo mwingi.na kama taifa hili litaingia kwenye vita ya kidini kiongozi atakayebeba mzogo huu ni jakaya kikwete.kama angelikuwa ni mchungaji mtikila kasema wakristo wasusie sensa basi manyang'au wa usalama wa taifa na polisi wangeshamuweka ndani mtikila sasa kikwete acha udini na ongoza taifa kwa misingi ya uongozi na si vinginevyo ubaguzi wa kidini utazikwa nao hata ukienda kaburini maan wewe ndie muanzilishi n​a unaendekeza.
 

Ni kweli ulichosema naungana nawe mia kwa mia. bila shaka walimu wataelewa message hii.
 
Alitakiwa atafakari kwanini badhi ya watanzania walikua wakipinga sensa badala ya kukurupuka nakuwambia watu washiriki sensa bila yakujibu hoja za wapinga sensa. BY HAYABWANA
 
Nimekuelewa mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…