Hilo ndilo linalotia shaka, kwa hiyo sio ushindi wa kura but ni by any means? Lakini msisahau tamko la Heche kuwa vijana sasa hivi wanataka haki itendeke na hawatakubali kuibiwa.Ushindi wa CCM Igunga lazima!
By any means tutashinda
Tofauti ya hizo picha mbili inajieleza yenyewe kabisa. Wanaomsikiliza Mgombea wa CCM wanaonekana wameduaa kama vile wamelazimishwa kuhudhuria mkutano huo na huo msafara wa Chadema wanaonekana wamehamasika kwa dhati la walitendalo. kwa nini hali hiyo?
Duh...! Zaidi ya 50% ni watoto...! Halafu kata yenyewe Mwisi! Si ingeitwa Mwizi tu?Mgombea Ubunge jimbo la Igunga mkoani Tabora kwa tiketi ya CCM, Dk Dalaly Kafumu akihutubia mkutano wa kampeni jana katika Kata ya Mwisi jimboni Igunga, Uchaguzi wa jimbo hilo unafuatia kujiuzuru kwa mbunge wa zamani wa jimbo hilo Bw. Rostam Aziz. (Picha na Bashir Nkoromo)
Hata kwa kumwaga damu?Ushindi wa CCM Igunga lazima!
By any means tutashinda
Mkuu si walikuwa wanafanya kampeni ya "kitanda kwa kitanda".....?Hata kwa kuwatafuna wake wa makada wenzenu?
Kila mkusanyiko watoto hukaa mbele. Kwani nao hawana haki ya kuskiliza?Mh. Sangara a.k.a Samaki a.k.a Nd'ilo!!! Umenihepisha......!! Yaani ni aibu kweli wkeli, eti watoto wamewekwa mbele bila aibu!