sir.JAPHET
JF-Expert Member
- May 18, 2012
- 699
- 133
naibu Waziri agrey mwanry wa tamisemi ageuka mbogo na kuapa kuwanyoosha wanaohujumu mali na rasilimali za taifa.. Amekiri kujipanga na kuwashughulikia watumishi wote wanaoleta mizahaa katika nafasi mbalimbali serikalini.. Amejipanga kufanya maboresho ngazi zote kwenye halimashaur na taasis na kuchukua hatua ipasavyo kuhakikisha haki inapatikana na kuwatimua wote mafisadi na..ameomba ushirikiano kwa wananchi