Djigui Diarra ni shujaa

Kwanini hamuwapendi waarabu? Kwani hawapo afrika?
Morocco iliposhinda robo fainali kuingia nusu fainali Africa nzima ilizizima kwa furaha tele hadi mfalme wao aliposema ushindi wao unawakilisha nchi za kiarabu na sio Africa kibao kikageuka wote tukaiombea njaa isipite nusu, anyway.. binafsi siwakubali ubaguzi wa muarabu ni zaidi ya kaburu+mjerumani+ mrusi. Ni wabaguzi wa kiwango cha SGR, ni kwasababu Dunia inaenda kasi wanalazimika kushirikiana na Dunia yote.
 
Waarabu ni wabaguzi wa kwanza dhidi ya watu weusi, wakifuatiwa na wahindi. Utashangaa kuwa hata wasudani ambao wao wenyewe ni weusi ila nyewele tu, bado wanawabagua watu weusi wenye nywele za kipilipili wkijidai wao ni waarabu.
 
Waarabu ni wabaguzi wa kwanza dhidi ya watu weusi, wakifuatiwa na wahindi. Utashangaa kuwa hata wasudani ambao wao wenyewe ni weusi ila nyewele tu, bado wanawabagua watu weusi wenye nywele za kipilipili wkijidai wao ni waarabu.
Waafrika ngozi ya tako nywele kipirpir wabaguliwe popote walipo maana hawana akil hata chembe
 

Shida yenu mnapenda kusikia kibaya kutoka kwa waarabu, wakati south wanauwa waafrika wenzao na kupora mali zao je mliwachukia!! Ila kwa mwarabu ndio imekua shida!! Sema wafuata mkumbo mko wengi, nikikuomba clip wakati anaongea hayo maneno utaleta?
 
Waarabu ni wabaguzi wa kwanza dhidi ya watu weusi, wakifuatiwa na wahindi. Utashangaa kuwa hata wasudani ambao wao wenyewe ni weusi ila nyewele tu, bado wanawabagua watu weusi wenye nywele za kipilipili wkijidai wao ni waarabu.
Jiangalie hapo ulipo una maendeleo gani kwa CHUKI??? kazi kuwachukia waarabu, ingelikua chuki inaleta utajiri basi wewe na wafuata mkumbo wenzio mgelikua matajiri sana.

Pole sana

Morocco πŸ‡²πŸ‡¦πŸ’ͺ🏽πŸ”₯πŸ”₯
 
Sema tu huwapendi waarabu, hata kabla ya hizo tetesi mliwapenda lini waarabu? Na ndio maana wanaendelea nyie wenye roho mbaya na chuki mtabakia kuwa masikini tu.

Wao ni waarabu na hata kama aliongea kwa ajili ya waarabu pia wako sahihi, maana mnawabagua sana.

Morocco endeleeni kunyoosha pale pale mpaka wasemeπŸ”₯πŸ”₯πŸ’ͺ🏽πŸ’ͺ🏽
 
Usikute na wewe unajiona mwarabu, yote uliyoongea haiondoi ukweli kwamba waaarabu ni wabaguzi, watu walio neutral kwa races nyingine ni wazungu na weusi na ndo maana wanaoana sana, hizi takataka nyingine zinajibagua hadi zenyewe, uliwahi kumuona mchina ana date muhindi au mwarabu!?,ukisema kuendelea umaskini uko pote hadi nchi nyingi tu za kiarabu vinginevyo uwe huijui Dunia vizuri.
 
Aliyesema ushindi wao unawakilisha waarabu hakuwa mfalme wao bali alikua ni mchezaji wao moja na naona safari hii hayupo Afcon.
 
Aliyesema ushindi wao unawakilisha waarabu hakuwa mfalme wao bali alikua ni mchezaji wao moja na naona safari hii hayupo Afcon.
Ona sasa mnajichanganya wenyewe πŸ˜„ chuki haimuachi mtu salama, acheni chuki fanyeni kazi. Hebu tuone ka clip kama unachosema ni kweli
 

Ni nani mwenye chuki na mwenzie hapo kati yako na mwarabu?? Kabla hujawatuhumu waarabu anzia nyumbani kwako kwanza kwa maana nchini kwetu, watu wanauwana, wananyongana, wanachomana moto, kukatana vidole, kunyofoa viungo vya ndani, sehemu za siri n.k, albino kuuawa na wengine kukatwa viungo kama vile mikono n.k, ni mengi sanaaa.

Kuhusu kuoana, kwani ni lazima uoe au kuolewa na mwarabu?? Mwanaume mzima unalalamika kuhusu kuoaana kweli!!! Sasa Ndio ujue waarabu sio easy kama ufikiriavyo, wamestaarabika sio wa (yes yes kama uafikiriavyo) wengi wao wanajitambua sio kama wazungu wako, wahindi na wachina japo sio wote.
 
Waarabu wamestaarabika nini au wewe hadi leo bado unajiona pagazi wao...!!!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…