Dj Khaled apewa haki yake na mashabiki

Dj Khaled apewa haki yake na mashabiki

Damaso

JF-Expert Member
Joined
Jul 18, 2018
Posts
6,132
Reaction score
10,514
Ni wazi kuwa katika miaka ya hivi karibu mivutano baina ya Israel na Palestina imekuwa mikubwa huku watu wengi wakipoteza maisha katika mashambulio kadha wa kadha haswa ukanda wa Gaza.

Dj Khaled akiwa kama anafahamika kwa majina ya Khaled Mohammed Khaled ni mtoto wa wazazi waliokimbia Palestina na Dj Khaled kuzaliwa New Orleans, Louisiana mwaka 1975, kifupi asili ya huyu mwamba ni Mpalestina.

Katika hiki ambacho wasanii wanaonesha kuinga mkono Palestina kwa kile ambacho kinaendelea ukanda wa Gaza ni kama vile, Dj Khaled amekuwa mfano wa Yuda Eskarioti kwani hajazungumza chochote na amekuwa kimya. Wengine wakidai kuwa akitetea ndugu zake Wapalestina basi muziki wake utapata changamoto.

Watu wameamua kumtolea uvivu wakati alipopanda kwenye show moja Marekani. Watu wamemuonesha upande wa pili wa shilingi. Ni kipande cha video ambacho kiukweli kinaumiza sana.
 
Wazazi wake kuzaliwa Palestina haimaanishi anavutiwa na matendo ya Wapalestina. Walivamia Israel kwa mapashuti wakateka Waseem na watoto. Sasa kwanini a-support?
 
Amgejichanganya aone
Angeshughulikowa kama yuko Gazza
Ngastuka
 
Back
Top Bottom