Dizzm inaonekana yupo na watu makini cha msingi asibanie tu maslahi ya watumishi wake maana hizi tv zetu kinachouwa ubora ni maslahi kwa wafanyakazi
Watu walipo dizzm wanajua mziki inaonekana wakogwe katika burudani uko wasafi nadhani wapo vijana wa mwaka 90