Diwani wa kata ya njoro katika manispaa ya Moshi Mh.Jomba Koy amepata ajali mbaya mkoani shinyanga akiwa safarin kuelekea nyumban kwake musoma akiwa na familia yake taarifa ni kwamba hali yake sio mzuri na yupo katika hospitaki ya mkoa wa shinyanga
Pole sana diwani get well soon.