Diwani wa kata ya Turwa ktk halmashauri ya mji wa Tarime wa cdm, Charles Ndesi Mbusiro,amesema kuwa CCM wilaya ya Tarime,kimepora uwanja wa michezo bila rdhaa ya wananchi.
Diwani huyo alitoa tuhuma hizo juzi alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi waliofurika kuhudhuria maadhimisho ya miaka 5 ya kifo cha aliewahi kuwa mbunge wa jmbo hilo marehem chacha zakayo wangwe.
Diwan huyo alidai, CCM baada ya kuona cdm wkitumia uwanja huo kila mara ktk miktn,sasa wamefanya ujanja na kupata hati na wanadai mali yao na viongoz wa CCM wanajenga vbanda vyao.
Diwan huyo aliwabana viongoz wa CCM waseme kama chama chao ni cha biashara au ni chama cha siasa? Kwann wafanye biashara katika uwanja huo?
Nae mkaz m1 Mwita Mseti alisema, hawa magamba wamezoea sana dhuluma na ufisadi.kiwanja cha wananch wote iweje leo CCM iwe mali yao? Tumechoka,liwalo na liwe lazima wakirudishe.
Source: Tanzania Daima
Diwani huyo alitoa tuhuma hizo juzi alipokuwa akihutubia maelfu ya wananchi waliofurika kuhudhuria maadhimisho ya miaka 5 ya kifo cha aliewahi kuwa mbunge wa jmbo hilo marehem chacha zakayo wangwe.
Diwan huyo alidai, CCM baada ya kuona cdm wkitumia uwanja huo kila mara ktk miktn,sasa wamefanya ujanja na kupata hati na wanadai mali yao na viongoz wa CCM wanajenga vbanda vyao.
Diwan huyo aliwabana viongoz wa CCM waseme kama chama chao ni cha biashara au ni chama cha siasa? Kwann wafanye biashara katika uwanja huo?
Nae mkaz m1 Mwita Mseti alisema, hawa magamba wamezoea sana dhuluma na ufisadi.kiwanja cha wananch wote iweje leo CCM iwe mali yao? Tumechoka,liwalo na liwe lazima wakirudishe.
Source: Tanzania Daima