Diwani mstaafu CCM ajiua kwa risasi

Riziki Magembe

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2014
Posts
886
Reaction score
206
Diwani huyo mstaafu na kada maarufu mjenga chama wilayani muheza amejipiga risasi alfajiri ya leo;mpaka sasa uchunguzi unaendelea wa kubaini nini kimemsibu hadi kuamua kujipiga risasi mwenyewe;jina lake ni ndugu mkufya

=====================================
Habari Zaidi
=====================================


 
Vipi au na yeye picha zake za unyama unyamani zishaanza kutembea whatssap nini akidhaambika??!! Anyway,r.I.p gamba mstaafu!!
 
Laana ya ufisadi inawatafuna c.c.m,wamekula ruzuku za chama na mwisho wa siku madeni yamewazidi.
Dah! Basi r.i.p msalimie korimba mwambie ukweli uliomnyamazisha ndio unaotokea sasa,kwani kinana ameanzisha chama kipya ndani ya c.c.m.
Mafisadi oyeee?
 
Diwani huyo mstaafu na kada maarufu mjenga chama wilayani muheza amejipiga risasi alfajiri ya leo;mpaka sasa uchunguzi unaendelea wa kubaini nini kimemsibu hadi kuamua kujipiga risasi mwenyewe;jina lake ni ndugu mkufya

Huyu mzee ni jirani yetu,sababu ya kujiua ni kwamba aliitelekeza familia akahamia kwa mchepuko kwa kipindi kirefu,sasa watoto wake waishio dar wakamchukua mama yao na kumtafutia biashara,mzee aliporudi nyumbani akakuta mkewe amehamia dar nyumba ipo tupu,alipopiama afya akajikuta ameathirika akaamua kujimaliza maana hakyona sababu ya kuishi,hapo ndo umuhimu wa kubaki njia kuu unapoonekana
 
Poleni familia ya diwani
Magamba yashamzulumu maana kwa kuzulimiana ndio wenyewe
 
kwa lugha zenu hizi za kigaidi bora angekufa mbowe au slaa

siku ya kufa kamanda mbowe hadi masojaz tuta peperusha bendera nusu mlingoti.
Maana ni mkombozi wa kweli asiyejivunia utajiri wake bali anautumia kwa maslahi ya umma.
 
Damu za wanyonge zimeanza kuwatafuna wanajiua.rip intarahamwe nenda kwa shetani na Mungu asikupokee.
 

Kweli miCCM inalaana huku KAPUYA anaambukiza vibinti na upande mwingine mibaba inaambukizwa na vibinti kwa hiyo NGOMA DROO
 
Lazima kuna kitu kimemtatiza. mpaka akachukua maamuzi mazito kama hayo!
Labda aliona sura yake ataiweka wapi Tanzania hii!

RIP
 
kabisa mkuu,majengo near shule ya msingi

Nilikuwepo Muheza miaka 6 ilopita nakumbuka huyu mzee alikuwa ni mmiliki wa bar moja kubwa hapo Muheza na ndiyo sehemu ambayo mm naikumbuka vizuri maana baada ya kazi mda mwingi tuliutumia kukaa pale kwenye bar yake na Rafiki yetu Rama Mzungu, R.I.P Mzee Mkufya
 

Kwa hiyo alijiua baada ya kuona hawezi kumuambikiza mkewe?Au aliamua kujiua sababu alijikuta amekosa mahali pakulelewa akishaanza kuwa hoi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…