ngozimbili
JF-Expert Member
- Jul 28, 2011
- 1,398
- 1,006
Diwani kata ya Nyugwa wilaya ya Nyang'hwale, mkoa wa Geita,(CCM) ametiwa mbaroni hivi punde kwa kubaka mwanafunzi, uongozi wa wilaya akiwemo mbunge wa Nyang'hwale wanatoa shinikizo kwa OCD amwachie huru. Naweka namba ya simu ya ocd 0787413312.