Ukiona hivyo hujue hali mbaya wiki ijayo TLP nao wanatia timu Arusha chini ya kamanda Dr Mrema.
hapa ndio utajua mtu mwenye akili fupi mkuu... jamaa ameshindwa kuona kule aendako na tunategemea soon tusikie wamemtema.........Huyu jamaa nilimshangaa kitu Kimoja, Wakati anapandishwa Jukwaani Kujitambulisha, Alidai yeye alichaguliwa na Wanachama zaidi ya Buku Moja lakini Kamati kuu yenye watu 45 ikamfukuza, Amesahau CUF nao walikaa na kuwatimua wakina HAMAD RASHID
Mkuu ni kweli kuwa John Bayo amehamia CUF, lakini inaniwia vigumu kuweza ku determine uwezo wa kufikiri wa Bayo, manake sioni tofauti ya ccm na cuf. Alihongwa na ccm kuiharibu chadema. nitashangaa kama atapewa nafasi ya uongozi na cuf. hata hivyo hana madhara hata wakimpa, alishajipaka mavi!
Yule mama kweli alipewa kadi ya CUF, ni mpango unaoonekana ulisukwa na Bayo, kwani kabla hajapewa kadi alikiri pale jukwaani kuwa mume wake aliuawa na polisi kwenye maandamano ya chadema, na walishirikiana na chadema kuzika na kumsaidia kwa mambo mengine ya kifamilia. akasema ameamua kujiunga cuf. Nilipomwona amevaa hijabu na kuficha mpaka macho nilijua udini umempeleka kule pia.
Kwa kumbukumbu zangu huyu mama aliahidiwa kuendelea kupata msaada kutoka chadema, lakini katika mazingira ya kutatanisha yule mama alitoweka, manake alitafutwa sana baada ya chadema kutaka kumsaidia, hakupatikana!
RED: ninamashaka na uelewa wako wa mamboUkiona hivyo hujue hali mbaya wiki ijayo TLP nao wanatia timu Arusha chini ya kamanda Dr Mrema.
mkuu tangu asubuh nilikuwa nategemea utie neno kwenye ule uzi mwingine lkn kimya?? mi nilijua haupo!!Mkuu naona mmechanganyikiwa kabisa, vipi Bayo nae ni dini gani? Nasikia wiki ijayo TLP wanakuja Arusha.
hapa ndio utajua mtu mwenye akili fupi mkuu... jamaa ameshindwa kuona kule aendako na tunategemea soon tusikie wamemtema.........
AAh kumbe CUF kafuata dini siyo siasa?Mkuu naona mmechanganyikiwa kabisa, vipi Bayo nae ni dini gani? Nasikia wiki ijayo TLP wanakuja Arusha.
Mkuu ni kweli kuwa John Bayo amehamia CUF, lakini inaniwia vigumu kuweza ku determine uwezo wa kufikiri wa Bayo, manake sioni tofauti ya ccm na cuf. Alihongwa na ccm kuiharibu chadema. nitashangaa kama atapewa nafasi ya uongozi na cuf. hata hivyo hana madhara hata wakimpa, alishajipaka mavi!
Yule mama kweli alipewa kadi ya CUF, ni mpango unaoonekana ulisukwa na Bayo, kwani kabla hajapewa kadi alikiri pale jukwaani kuwa mume wake aliuawa na polisi kwenye maandamano ya chadema, na walishirikiana na chadema kuzika na kumsaidia kwa mambo mengine ya kifamilia. akasema ameamua kujiunga cuf. Nilipomwona amevaa hijabu na kuficha mpaka macho nilijua udini umempeleka kule pia.
Kwa kumbukumbu zangu huyu mama aliahidiwa kuendelea kupata msaada kutoka chadema, lakini katika mazingira ya kutatanisha yule mama alitoweka, manake alitafutwa sana baada ya chadema kutaka kumsaidia, hakupatikana!