jf raha ,toka asubuhi nilikuwa sijachekaMke karudi kwa mume baada ya kwenda kupiga umalaya na sasa analeta ukimwi nyumbani ili wafe taaartiiiiiiib!!!
Wanakiribishwa sana waje waonyeshe uwezo wa kisiasa na si vinginevo.Mkuu naona mmechanganyikiwa kabisa, vipi Bayo nae ni dini gani? Nasikia wiki ijayo TLP wanakuja Arusha.
Bayo ana haki ya kujiunga na chama chochote anachokiona kinamfaa hiyo ndiyo demokrsia yenyewe.
Ngongo at work!
Pole sana na kauli yako!
Nimeshakuwaga na hofu nawe kitambo! Sitoshangaa maneno yako!