Ni wewe mwenyewe au? Lakini huyo mtu hakupi uwanja wa kumshauri kwa kuwa hajui anataka nini. Kimsingi ilibid umuulize ANA NDOTO GANI? Yaani anataka kuwa nani? Haiwezekan akuambie anataka course yoyote huyo hajielewi.
Anyway mwambie aende NIT asomee mambo ya SHIP MANAGEMENT, pale na mkopo ataweza kupata,au aombe BUSINESS AND AGRICULTURE hapo UDSM, au aende terminal 3 akaulizie cousre nyingi zinazohusu masuala ya usafiri wa anga, au aende udsm akasomee IT, architecture, au chuo cha ubaharia pale awe wakala wa meli au hata nahodha.
Kuna course ya petrolium ang gas management sijui chuo gani wanatoa, au akasomee masuala ya kuendesha magreada na mitambo ya migodini, aisee mtu asiyesema ndoto zake vitu vya kumshauri ni vingi, wajuvi watakuja na mwongozo zaidi