Tokea juzi simu yangu ya nokia kila nikipiga inaandika NOTE:YOU HAVE ACTIVE DIVERTS..wakti sijawahi kui divertr,,nimejaribu kui cancel lakini haitoki nimepiga customer care wakasema haina tatizo..ndo simu za nokia zilivyo..nikamwambia kua nina nokia mda mrefu na cjawahi kuiona ikitokea akasema hajui..vp wadau ni mtandao au ni nini hasa.