DIT wamenikatisha tamaa

DIT wamenikatisha tamaa

Binadamu Mtakatifu

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2021
Posts
4,337
Reaction score
9,079
Yaani huwezi amini tovuti ya dit ilivyo na muonekano mbaya vile mpaka keroo yaan nilitaka kuappy chuo kikubwa kama kila nikaongeze ujuzi kwenye programming ila baada ya kuona tovuti yao haina mpangilio yaan mbovuu hata ninayoweza kudesign mwenyewe nzuri
Pls jmn DIT mnatuaibisha fanyeni mpango mrekebishe hio tuvuti yenu

eEbu cheki www.dit.ac.tz
 
Shida yako ni ku apply au ulienda kuangalia uzuri wa site? Akili zingine sijui huwa mnafikiria nini.
 
Yaani huwezi amini tovuti ya dit ilivyo na muonekano mbaya vile mpaka keroo yaan nilitaka kuappy chuo kikubwa kama kila nikaongeze ujuzi kwenye programming ila baada ya kuona tovuti yao haina mpangilio yaan mbovuu hata ninayoweza kudesign mwenyewe nzuri
Pls jmn DIT mnatuaibisha fanyeni mpango mrekebishe hio tuvuti yenu

embu cheki www.dit.ac.tz
Kikawaida mkuu organisation's kubwa nyingi website zao ni barebone, usitegemee mbwembwe. Pengine sio mbaya kama hio lakini pia si nzuri.

Kinachotakiwa ni kufanya kazi, kama unaweza ku apply bila shida hakuna Neno.
 
Yaani huwezi amini tovuti ya dit ilivyo na muonekano mbaya vile mpaka keroo yaan nilitaka kuappy chuo kikubwa kama kila nikaongeze ujuzi kwenye programming ila baada ya kuona tovuti yao haina mpangilio yaan mbovuu hata ninayoweza kudesign mwenyewe nzuri
Pls jmn DIT mnatuaibisha fanyeni mpango mrekebishe hio tuvuti yenu

embu cheki www.dit.ac.tz
Bora hao wana website isiyo na muonekano mzuri, UDOM website yao ili hakiwa na password za wanafunzi zikawekwa hapa JF.
 
Ungesema ubaya upo wapi
Pia issue ya unaya na uzuri ni maono yako wewe

wewe sema shida ni nini
 
Hicho chuo Kila mtu anazima Moto tu kwa adminstration Hadi mawaden ni utopolo mtu. Elimu ilikua zamani lakini sio sasa
 
Sio DIT kifupi hii nchi hatuheshimu Professionalism chungulia site ya TRA na KRA anagali Kenya power care na Site ya tanesco
 
Back
Top Bottom