Ninatumia laptop aina ya Lenovo T440p. Nimeiwasha inaonyesha kua imewaka lakin screen imegoma Ku display (kuwaka).
Mwenye shortcut ya namna ya kufix hili tatizo anisaidie tafadhali.
Ninatumia laptop aina ya Lenovo T440p. Nimeiwasha inaonyesha kua imewaka lakin screen imegoma Ku display (kuwaka).
Mwenye shortcut ya namna ya kufix hili tatizo anisaidie tafadhali.View attachment 986379
Jaribu kuchukua monitor ya nje na connect kwa vga then washa mashine kama bado kuna tatizo Badili kioo, hicho kioo ni slim vipo vingi tuu. tatizo likiendelea Video card itakuwa imezingua Tafuta Fundi Aichome ila haita kaa sana kabla ya kufa kabisa.
Jaribu kuchukua monitor ya nje na connect kwa vga then washa mashine kama bado kuna tatizo Badili kioo, hicho kioo ni slim vipo vingi tuu. tatizo likiendelea Video card itakuwa imezingua Tafuta Fundi Aichome ila haita kaa sana kabla ya kufa kabisa.
Ninatumia laptop aina ya Lenovo T440p. Nimeiwasha inaonyesha kua imewaka lakin screen imegoma Ku display (kuwaka).
Mwenye shortcut ya namna ya kufix hili tatizo anisaidie tafadhali.View attachment 986379