Dismas Nkunda: Tanzania must learn to be good neighbour - The Observer

Huyu bwana ameandika na kuacha facts nyingi. Katika EAC hatujafikia hatua ya free movement of people and capital.
Hilo bado kwahiyo asitumie EAC kama kisingizio.

Free movemnet of people haina maana kuingia hovyo ina maana kuingia kwa kufuata utaratibu.
Huwezi kuingia tu nchi yoyote ya EU bila utaratibu. Tanzania inapakana na nchi 8, nyingi kuliko taifa lolote la EAC

Kama free movement ni hiyo anyoongelea huyu zuzu, basi hakuna free movement kwasababu Africa yote itakuwa na 'free movement' na Tanzania kuwa shamba la bibi kutokana na matatizo waliosababisha kwao kwa kugawa ardhi hovyo kama walivyofanya Kenya na Rwanda.

Pili, wasimtumie Nyerere katika kuhalalisha uhalifu. Mbona Mwinyi na mkapa wametoa urai kwa watu zaidi ya 160,000 pengine wengi zaidi ya Nyerere! Wanamtumia Nyerere kama jina na kinga.

Tatu, huyu bwana anasema eti Tanzania inahofia wananchi wa nchi nyingine watachukua kazi. Stupid Dismas Nkuna anaacha facts kubwa sana. Wahamiaji haram hawakuja Dar walikuwa Kigoma na Kagera wakipora mapande ya ardhi. Kwahiyo tatizo ni ardhi na ndiyo maana kuna wahamiaji haramu. Wengi wao hawajui hata kuandika majina kwahiyo si tishio kwa kazi, ni tishio kwa ardhi.

Nne, tatizo la mpaka na ushuru kule Rusumo halikufikia hatua ya kuwa na economic crisis. Huyu bwana anajaribu kutisha. Wakati wa mauji ya Kimbari Tanzania ilikuwepo bila Rwanda sidhani Rwanda ni soko la maana kuleta crisis.

Ili kuonyesha Tanzania ni mbaya mara zote wanatumia hoja za hovyo kama za Dismas.
Ni mtanzania gani anayeweza kupata ardhi Kisii Kenya au Kigali au Baganda empire.

Kwanini Kenya na Uganda walitaka kupigana kwa kisiwa cha KM 1.
Kwanini wanapokutana akina Kagame, Uhuru na Museveni hawaongelei ardhi, Tanzania ikiwepo hiyo ndiyo ajenda.kwanini!

Hakuna taifa linaloweza kuishi bila kuwa na sheria. Hakuna mtu wa nchi jirani aliyefukuzwa akiwa na uhalali.
Wanaofukuzwa ni wahamiaji haram ambao stupid Nkunda hawasemi. This article is too low ! shame on you Nkunda.
 
kuna watanzania kama Masha toka wadogo wako marekani, na wamekulia marekan na kusoma uko. mwisho wa siku karudi tanzania na kupewa uwaziri na ubunge.
na hiyo unasemaje?

Siyo Masha tu,Watanzania wengi tu wamesoma nje siyo kwa fadhila za ccm, na leo hii wanasukuma guruduma la maendelo hapa hapa nchini. Hili group ambalo limelelewa na chama ndio chanzo cha matatizo nchini, home bred with ever homely wits.
 
United States is a neighbour to Mexico but you cannot cross border from Mexico to US without papers?There is a different between refugee and illigal immigrants...So is US not a good neighbour to Mexico?
I wonder why so many people (some immigrants) want to live here freely without proper endorsement ?
is Tz a 'shamba la bibi'? Mbona tukija kwenu tunakaguliwa weeee jamani, obey our laws,rules and regulations.
 
Huyu bwana ameandika na kuacha facts nyingi. Katika EAC hatujafikia hatua ya free movement of people and capital.
Hilo bado kwahiyo asitumie EAC kama kisingizio.

Free movemnet of people haina maana kuingia hovyo ina maana kuingia kwa kufuata utaratibu.
Huwezi kuingia tu nchi yoyote ya EU bila utaratibu. Tanzania inapakana na nchi 8, nyingi kuliko taifa lolote la EAC

Kama free movement ni hiyo anyoongelea huyu zuzu, basi hakuna free movement kwasababu Africa yote itakuwa na 'free movement' na Tanzania kuwa shamba la bibi kutokana na matatizo waliosababisha kwao kwa kugawa ardhi hovyo kama walivyofanya Kenya na Rwanda.

Pili, wasimtumie Nyerere katika kuhalalisha uhalifu. Mbona Mwinyi na mkapa wametoa urai kwa watu zaidi ya 160,000 pengine wengi zaidi ya Nyerere! Wanamtumia Nyerere kama jina na kinga.

Tatu, huyu bwana anasema eti Tanzania inahofia wananchi wa nchi nyingine watachukua kazi. Stupid Dismas Nkuna anaacha facts kubwa sana. Wahamiaji haram hawakuja Dar walikuwa Kigoma na Kagera wakipora mapande ya ardhi. Kwahiyo tatizo ni ardhi na ndiyo maana kuna wahamiaji haramu. Wengi wao hawajui hata kuandika majina kwahiyo si tishio kwa kazi, ni tishio kwa ardhi.

Nne, tatizo la mpaka na ushuru kule Rusumo halikufikia hatua ya kuwa na economic crisis. Huyu bwana anajaribu kutisha. Wakati wa mauji ya Kimbari Tanzania ilikuwepo bila Rwanda sidhani Rwanda ni soko la maana kuleta crisis.

Ili kuonyesha Tanzania ni mbaya mara zote wanatumia hoja za hovyo kama za Dismas.
Ni mtanzania gani anayeweza kupata ardhi Kisii Kenya au Kigali au Baganda empire.

Kwanini Kenya na Uganda walitaka kupigana kwa kisiwa cha KM 1.
Kwanini wanapokutana akina Kagame, Uhuru na Museveni hawaongelei ardhi, Tanzania ikiwepo hiyo ndiyo ajenda.kwanini!

Hakuna taifa linaloweza kuishi bila kuwa na sheria. Hakuna mtu wa nchi jirani aliyefukuzwa akiwa na uhalali.
Wanaofukuzwa ni wahamiaji haram ambao stupid Nkunda hawasemi. This article is too low ! shame on you Nkunda.
Kaka, niliku miss sana; asante sana kwa hii piece of info / comments. We gotta stand firm for the security of our country... ngoja wapige kelele tu, lakini msimamo wa JK ni ule ule; wahamiaji haramu warudi!
 
United States is a neighbour to Mexico but you cannot cross border from Mexico to US without papers?There is a different between refugee and illigal immigrants...So is US not a good neighbour to Mexico?
I wonder why so many people (some immigrants) want to live here freely without proper endorsement ?
is Tz a 'shamba la bibi'? Mbona tukija kwenu tunakaguliwa weeee jamani, obey our laws,rules and regulations.

mkuu asilimia zaidi ya 10.8 ambao ni sawa na 7,000,000 .million 7 wanaishi marekani kama ulikuwa ujui ndio hivo.
hivo pamoja na kukontrol ni wengi wanaoishi marekan na wana mchango mkubwa sana wa nguvu kazi.
tena adi may 2013 idadi yao imeongezeka wako zaidi ya million 11.4
 
Being good to your neighbours doesnt mean you just let anyone do whatever he/she wants in your own house, they have to respect your rules, principles and laws as well!!
 
Hiyo ni kweli angalia hii:
Donald Kaberuka:
Amezaliwa 1951
1960-1963: Muhongo primary school (karagwe)
1964-1965: Nyakahanga PS Karagwe middle school
1966-1968: Ihungo secondary school (bukoba)
1969-1972: Tabora boys (St mary's high school wakati huo)
1973-1975: UDSM BA economics
Baadae PhD economics -Glasgow university, Scotland.

1997: Appointed minister of finance and economic planning in Rwanda! and today is widely rumoured to be the next president of Rwanda after kagame!

Huyu aliyekaa kihalali tunamchukulia mtanzania mwenzetu anatusaliti hivi, hao wanaokuja kiharamu je? si ndio watajaza jeshi siku ya siku waseme Kagera ya kwao?
jMali,

..kuna nafasi nyeti hapa Tanzania zimewahi kushikwa na raia wa kigeni.

..kwa mfano tuliwahi kuwa na Chief Justice toka nchi za Carribean.

..pia tulikuwa na DPP mkimbizi toka Rhodesia/Zimbabwe.

..hata majuzi tulikuwa na CEO wa Tanroads ambaye ni raia wa Ghana.

..jambo la msingi ni kwamba wahusika pamoja na serikali walikuwa wawazi kuhusu uraia na status za watumishi hao.

..tatizo la ndugu zetu toka Rwanda ni kutokuwa wawazi. lakini hilo unaweza kuwasamehe kwamba huenda walishakata tamaa ya kurudi kwao.

..kosa kubwa zaidi limefanywa na serikali yao. Wanyarwanda waliokuwa ktk vitengo mbalimbali huku Tanzania walipaswa kurudi kwao kwa ombi maalum toka kwa serikali mpya ya Rwanda.

..Kwa mfano, kuna Mtanzania mwenye asili ya Rwanda aliteuliwa na Mkapa kuwa balozi. Sasa inasemekana Kagame alimteua jamaa huyo kuwa balozi wa Rwanda kwenye nchi moja ya EU bila kushauriana na serikali ya Tanzania. Sasa matukio kama hayo hayajengi mahusiano mazuri.

NB:

..wa-Tanzania pia wamewahi ku-serve ktk nafasi nyeti ktk nchi nyingine. lakini walifanya hivyo kwa utaratibu maalum, na kamwe hawakuficha uraia wao.

cc Money stunna, Bukyanagandi
 
Last edited by a moderator:
Added to that, there is a kingdom in Uganda that is likely to lose out should Tanzania continue with its policy of expelling refugees. The Bahaya in northern Tanzania pay their respects to the King of Bunyoro.

Headline ya jamaa si mbaya, ila huyu jamaa amezunguka weeeeeeeeeeeeee kumbe pointi yake ni hii ya ajabu kuhusu Bunyoro? Huyu ni mlevi wa uchifu/ufalme. Ni mnyoro nn? Anaota.
 
Watanzania tusipojitambua katika mahusiano ya kimataifa na hasa EAC tutajikuta tunakosa hata nguzo ya utaifa wetu achilia mbali mtikisiko wa kisiasa na kiuchumi ndani ya nchi.

Don't understimate a concealed resolute power, egocentric, counter-information and political plugs from Rwanda. Hawa jamaa ni wachache lakini wameweza kujipenyeza sana na kujisimika katika nafasi nyeti serikalini na kwenye asasi mbali mbali katika nchi za maziwa makuu.

Siyo muda mrefu watakuwa wanazitumikisha serikali za nchi hizi za maziwa makuu remotely or direct. Sipendi kuonekana mbaguzi lakini wakati mwingine ukweli lazima usemwe ili ujulikane na watu waweze kufanya maamuzi wakiwa wamefunguka kiakili, kifikra na kimtazamo.

Mwandishi wa aricle anaposema Tanzania MUST LEARN anakuwa amesimama katika authority ambayo ni lazima Watanzania wakifanye anachokitaka. Amepata wapi hii authority?. Hivi anaifahamu historia ya Tanzania?.

Hili neno MUST kwa kuliangalia kwa macho matatu litakuwa limebeba ujumbe mzito sana.

Rwanda na hasa Watutsi wanajipambanua kama Wayahudi ambao baada ya vita vya dunia walikuwa wanaangaliwa kama protected species. Athari walizopata ziliwafanya wakawa kitu kimoja na hii ilipelekea wao kupata msukumo wa wao kuwa watawala ili yasijekutokea tena yaliyowatokea.(Persecuted).

Kuangaliwa kwa huruma na huku wakipata special treatment kuliwafanya wakaitumia hiyo advantage kujipenyeza katika serikali za Magharibi na NGO kwa sababu hata kabla ya vita na mauwaji ya kimbali, Wayahudi walikuwa tayari wana pesa ambazo ziliwawezesha kwenda kuishi sehemu yoyote ya dunia kama wakimbizi. Leo hii siasa na njia za uchumi za nchi za Magharibi zimeshikwa na Wayahudi pamoja na uchache wao hapa duniani.


Historia kwa sasa inaanza kujirudia katika nchi za maziwa makuu ambapo Watutsi wanaitumia advantage ya mauwaji ya kimbali wakiwa kama protected species kujipenyeza kwenye serikali na asasi mbalimbali na kisha kuhodhi madaraka na njia kuu za uchumi ili wawe safe zaidi kwa sababu wao ndiyo watakuwa watoa maamuzi.

Watutsi wanalia foul wakati wana advantage zaidi ya mlalahoi, na kikubwa zaidi, wanataka wapewe special treatment hata kama wametenda makosa.

Hawa jamaa wako on politics and economic special mission. Hizi kelele na article zao zina mambo makubwa lakini yanahitaji darubini kali kuyaona.
 
Why mnang'ang'ania kukaa Tanzania???

Kuna nini??

lazima wang'ang'anie ngoja nikupe mfano,km2 za Rwanda ni 26,000 wakat za Km2 za Kagera ni 46,838 hivo mkoa wa Kagera ni Mkubwa karibia mara mbili ya rwanda.
Hivo Hivo kwa Uganda,Kenya,Burundi.Ardhi ya Tanzania ni kubwa mno na aijatumika,tatizo la raia wa Tanzania hawana mitaji mikubwa ya kuwekeza kwenye kilimo,tofauti na Kenya,ambayo ilianza ubepari zamani.
Hivo lazima waje,nimekujibu mkuu
 
Seriously, tungeendelea kuwaacha hawa watu waishi huku tujue tumetega time bomb!! and they are very parasitic!! nakumbuka mwezi ulopita nilikuwa naenda kukagua mradi karagwe na pia kukutana na beneficiaries, walichoniambia ni kwamba karibu robo tatu ya beneficiaries wamerudi kwao Rwanda so hatutaweza kukutana nao kwa sasa, hii ina maana tulifikiri kwamba tunawasaidia watanzania kuondokana na umaskini kumbe kiuhalisia hatukuwa tunahudumia watanzania!! I was so disappointed!!
 
Seriously, tungeendelea kuwaacha hawa watu waishi huku tujue tumetega time bomb!! and they are very parasitic!! nakumbuka mwezi ulopita nilikuwa naenda kukagua mradi karagwe na pia kukutana na beneficiaries, walichoniambia ni kwamba karibu robo tatu ya beneficiaries wamerudi kwao Rwanda so hatutaweza kukutana nao kwa sasa, hii ina maana tulifikiri kwamba tunawasaidia watanzania kuondokana na umaskini kumbe kiuhalisia hatukuwa tunahudumia watanzania!! I was so disappointed!![/QUOTE]

apo kwenye red,kuna ubaya gani kusaidia binadamu wenzako tena waafrika wenzako,kwa nini ujisikia vibaya kusaidia binadamu wenzako wasio na uwezo,kama umejisikia vibaya jua baraka zote zimepotea ulizotenda
 
Si vibaya kuwasaidia lakini wangetambulika kama ni wa Kimbizi au wakazi halali wa Tanzania wenye kuchangia maendeleo ya Tanzania na si kuishi kikupe!! Na kumbuka muda wa kutoa humanitarian services ulikuwa umeisha sasa tunainvest kwenye livelihood for our people!! Acha warudikwao wakajipange!!
Seriously, tungeendelea kuwaacha hawa watu waishi huku tujue tumetega time bomb!! and they are very parasitic!! nakumbuka mwezi ulopita nilikuwa naenda kukagua mradi karagwe na pia kukutana na beneficiaries, walichoniambia ni kwamba karibu robo tatu ya beneficiaries wamerudi kwao Rwanda so hatutaweza kukutana nao kwa sasa, hii ina maana tulifikiri kwamba tunawasaidia watanzania kuondokana na umaskini kumbe kiuhalisia hatukuwa tunahudumia watanzania!! I was so disappointed!![/QUOTE]

apo kwenye red,kuna ubaya gani kusaidia binadamu wenzako tena waafrika wenzako,kwa nini ujisikia vibaya kusaidia binadamu wenzako wasio na uwezo,kama umejisikia vibaya jua baraka zote zimepotea ulizotenda
 
Dear stupid writter,

Advice your husband Kagame the dictator to be a good neighbour to Congo, stop your idiotic, the masacre you have caused in Congo are enough, tell your fellow blood thirst Kagame,to have Good Neighborhood with Hutu Rebels. Tell Kagame to start implementing your insanity advice to his home people.

Dear Stupid writter, tell Dictator Kagame to be good neighbour to Hutu community who have turned immigrants due to his brutal regime.

Dear war monger writter, tell your Brutal Kagame to stop plundering on Congo mineral.

Dear uncritical writer, tell your husband Dictator Kagane to be a good neighbour to all who oppose him.

Tell him to stop ploting killings of whosoever think different of his dictatorial atmosphere, please advice him

Tell your Husband to be a good neighbour to political parties in his torned country, by allowing democratic institutions to perfome their duties.

Tell your Husband that even his political rivals, have right to live inside Rwanda and Uganda, advice him to stop ploting killings of his rivals outside Rwanda.

Once you are done with the assigned homework, then answer me the following Questions

1. Which Country in East and central Africa hosted more than 1,000,000 refugees during and after Rwanda Genoside? You have the answer, why was it not Uganda? Kenya?
2. Which county mediated and reconciled the post genocide era,
3. Which county liberated Ugandan after the deadly leadrship of Idd Amin.
4. Which country defended dictator Kagame from ICC trial attempty?
5. Which county reconciled the deadly post election in Kenya?
6. Which country is sympathising with Congolese due to invassion made by Dictator Kagame using the umbrella of M23
8. Which county in East Africa is considered as Goshem of Africa ?

Stupid writter, Tanzania has nothing to learn from your marasmic and foolish agenda, no country in East Africa except Tanzania can claim of taking care on brotherhood and love.

Stop your day mare and unattained imagination.

Tanzania stand yo be the modal of example in both Democracy and Good governance that respect human dignity and equality.

For your information Kagame is and still he is, the one who caused the genocide, because he was the one who order the attack of the Habyarimana, the incident which sparked civil war for the Hutu to retaliate against Tutsi. Stupid writter do you know all these?

Had it not your husband involvement on this terrorist attack, Rwanda genocide could have been avoided.

Kagame was not a good neighbour by Killing his brother and many others.

Viva Tanzania

Viva Kikwete

Viva the innocent land of Mwalimu Nyerere!
Dah mkuu maneno yako yamebeba ujumbe wa kizalendo sana mkuu na ni mazito mno..

Ngoja nirudie tena kusoma
 
money stunna kama wewe ni raia wa kigeni au u a asil huko pole. but hatuwez tu kuacha watu waingie nchin na kuish bila vibal. we mwenyewe sidhan kama unaruhusu tu watoto wa jiran wawe wanakuja kucheza sebulen kwako wanakula na kuondoka. utakuwa -------- kama watoto wako wanateseka kwa kuwa baba unadhan unatengeneza ujitan mwema kwa kuruhusu kila mtu anayetaka aje ndan mwako .wewe nahisi si mtanzania...maana kila mtanzania mwenye akili timamu anaunga mkono juhudi hiz.
 
money stunna kama wewe ni raia wa kigeni au u a asil huko pole. but hatuwez tu kuacha watu waingie nchin na kuish bila vibal. we mwenyewe sidhan kama unaruhusu tu watoto wa jiran wawe wanakuja kucheza sebulen kwako wanakula na kuondoka. utakuwa -------- kama watoto wako wanateseka kwa kuwa baba unadhan unatengeneza ujitan mwema kwa kuruhusu kila mtu anayetaka aje ndan mwako .wewe nahisi si mtanzania...maana kila mtanzania mwenye akili timamu anaunga mkono juhudi hiz.

mkuu mim sifungaman na upande wowote. ninachoangalia ni haki kwa watu wanaofukuzwa na hatima ya jumuiya ya Afrika Mashariki sipendi ivunjike kwa mara nyingine.
 
Dear stupid writter,

Advice your husband Kagame the dictator to be a good neighbour to Congo, stop your idiotic, the masacre you have caused in Congo are enough, tell your fellow blood thirst Kagame,to have Good Neighborhood with Hutu Rebels. Tell Kagame to start implementing your insanity advice to his home people.

Dear Stupid writter, tell Dictator Kagame to be good neighbour to Hutu community who have turned immigrants due to his brutal regime.

Dear war monger writter, tell your Brutal Kagame to stop plundering on Congo mineral.

Dear uncritical writer, tell your husband Dictator Kagane to be a good neighbour to all who oppose him.

Tell him to stop ploting killings of whosoever think different of his dictatorial atmosphere, please advice him

Tell your Husband to be a good neighbour to political parties in his torned country, by allowing democratic institutions to perfome their duties.

Tell your Husband that even his political rivals, have right to live inside Rwanda and Uganda, advice him to stop ploting killings of his rivals outside Rwanda.

Once you are done with the assigned homework, then answer me the following Questions

1. Which Country in East and central Africa hosted more than 1,000,000 refugees during and after Rwanda Genoside? You have the answer, why was it not Uganda? Kenya?
2. Which county mediated and reconciled the post genocide era,
3. Which county liberated Ugandan after the deadly leadrship of Idd Amin.
4. Which country defended dictator Kagame from ICC trial attempty?
5. Which county reconciled the deadly post election in Kenya?
6. Which country is sympathising with Congolese due to invassion made by Dictator Kagame using the umbrella of M23
8. Which county in East Africa is considered as Goshem of Africa ?

Stupid writter, Tanzania has nothing to learn from your marasmic and foolish agenda, no country in East Africa except Tanzania can claim of taking care on brotherhood and love.

Stop your day mare and unattained imagination.

Tanzania stand yo be the modal of example in both Democracy and Good governance that respect human dignity and equality.

For your information Kagame is and still he is, the one who caused the genocide, because he was the one who order the attack of the Habyarimana, the incident which sparked civil war for the Hutu to retaliate against Tutsi. Stupid writter do you know all these?

Had it not your husband involvement on this terrorist attack, Rwanda genocide could have been avoided.

Kagame was not a good neighbour by Killing his brother and many others.

Viva Tanzania

Viva Kikwete

Viva the innocent land of Mwalimu Nyerere!

Big up!!!!
 
Back
Top Bottom