fagix
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 739
- 558
Habara wakuu
Naandika haya kwa kuwa kuna baadhi ya vyuo nchini vikiwa vinatoza direct cost kubwa ambayo no zaidi ya ada ya semester moja
Mfano kunachuo kipo bagamoyo ada take n 1250000/=tshs
Lakini inatoza direct cost ya 650000/= ambazo mwanafunzi anatakiwa atowe kwa Mara moja hiyo hela ili asajiliwe
Cha kushangaza ndani ya hiyo laki sits kuna 380,000/= inaitwa general service,bila kutolea ufafanuzi hii general service inahusu nn zaidi
Nimeweka viambatanisho viwili moja n cha chuo hicho kingine ni chuo kinachotoa degree kama ya chuo hicho ambacho kina huduma zote kukizidi hiki chuo cha hapo bagamoyo
Naandika haya kwa kuwa kuna baadhi ya vyuo nchini vikiwa vinatoza direct cost kubwa ambayo no zaidi ya ada ya semester moja
Mfano kunachuo kipo bagamoyo ada take n 1250000/=tshs
Lakini inatoza direct cost ya 650000/= ambazo mwanafunzi anatakiwa atowe kwa Mara moja hiyo hela ili asajiliwe
Cha kushangaza ndani ya hiyo laki sits kuna 380,000/= inaitwa general service,bila kutolea ufafanuzi hii general service inahusu nn zaidi
Nimeweka viambatanisho viwili moja n cha chuo hicho kingine ni chuo kinachotoa degree kama ya chuo hicho ambacho kina huduma zote kukizidi hiki chuo cha hapo bagamoyo