Kweli mkuu rafiki yetu anayetupa kibri, anahangaika na corona, sijui uchaguzi huu kama tutatoboa
Kweli mkuu rafiki yetu anayetupa kibri, anahangaika na corona, sijui uchaguzi huu kama tutatoboa
Kweli mkuu rafiki yetu anayetupa kibri, anahangaika na corona, sijui uchaguzi huu kama tutatoboa
Katika uwanja wa itifaki RC hawezi kwenda nje ya nchi kumwakilisha rais... RC ni level ya chini sana... Juu yake kuna mabalozi, mawaziri makatibu wakuu nknk
Jr
Wafunge ubalozi kwa sababu ya mtu mmojaNchi wanachama wa umoja wa mataifa zinaendeshwa kwa misingi ya Diplomasia!
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki
Nchi wanachama wa umoja wa mataifa zinaendeshwa kwa misingi ya Diplomasia!
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki
Wapinzani wanavyotetea hao mabeberu, wanafikiri wao wanawekwa pembeni mambo yakiharibika, mambo yakiharibika ni kwa wote.
Nadhani umeona namna athari ya ujinga isivyobagua. DV Lottery wamefungiwa watanzania wote, hakuna aliyebaguliwa, yaani hata Zito au Fatma au mbowe , wote wamezuiliwa. Beberu hana rafiki zaidi ya kutunyonya.
Mjifanye kuwatetea na kuwapa taarifa za uongo, kumbe mnajiangamiza wenyewe. in the long run. Huko libya , Iraq na kwingineko, wanaumia wote, hakuna anayepona na ujambazi wa hao mabeberu. Ni wezi na wauwaji walio kubuhu.
Huyo Pompeo mwenyewe akiwa Mkuu wa Idara ya Ujasusi ya marekani ndio aliyeleta balaa huko Iraq na kwingineko.
Failedimagine !
Acheni kuua Watanzania wenzenu na kujifanya Watanzania zaidi ya wengine mtabaki salama..Nchi wanachama wa umoja wa mataifa zinaendeshwa kwa misingi ya Diplomasia!
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki
Yote katika yote kilio cha 500$Mlns ndio nikajua mengi kumbe..Wapinzani wanavyotetea hao mabeberu, wanafikiri wao wanawekwa pembeni mambo yakiharibika, mambo yakiharibika ni kwa wote.
Nadhani umeona namna athari ya ujinga isivyobagua. DV Lottery wamefungiwa watanzania wote, hakuna aliyebaguliwa, yaani hata Zito au Fatma au mbowe , wote wamezuiliwa. Beberu hana rafiki zaidi ya kutunyonya.
Mjifanye kuwatetea na kuwapa taarifa za uongo, kumbe mnajiangamiza wenyewe. in the long run. Huko libya , Iraq na kwingineko, wanaumia wote, hakuna anayepona na ujambazi wa hao mabeberu. Ni wezi na wauwaji walio kubuhu.
Huyo Pompeo mwenyewe akiwa Mkuu wa Idara ya Ujasusi ya marekani ndio aliyeleta balaa huko Iraq na kwingineko.
kwani kwa akili yako MAKONDA ni diplomat? na yeye kama mkuu wa mkoa ana jukumu lolote linalomlazimu kufanya kwa kusafiri nje ya nchi? yeye si anaishia dsm pekee?Nchi wanachama wa umoja wa mataifa zinaendeshwa kwa misingi ya Diplomasia!
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki
😃😃😃Ni sawa na Takukuru kumuita Kangi Lugola kumuhoji, ataitwa waende kunywa kahawa.
😃😃umeona mkuuDah, wataenda kiboya wakidhani wanaenda kuongea na akina Bulaya
Wapinzani wanavyotetea hao mabeberu, wanafikiri wao wanawekwa pembeni mambo yakiharibika, mambo yakiharibika ni kwa wote.
Nadhani umeona namna athari ya ujinga isivyobagua. DV Lottery wamefungiwa watanzania wote, hakuna aliyebaguliwa, yaani hata Zito au Fatma au mbowe , wote wamezuiliwa. Beberu hana rafiki zaidi ya kutunyonya.
Mjifanye kuwatetea na kuwapa taarifa za uongo, kumbe mnajiangamiza wenyewe. in the long run. Huko libya , Iraq na kwingineko, wanaumia wote, hakuna anayepona na ujambazi wa hao mabeberu. Ni wezi na wauwaji walio kubuhu.
Huyo Pompeo mwenyewe akiwa Mkuu wa Idara ya Ujasusi ya marekani ndio aliyeleta balaa huko Iraq na kwingineko.
Ajaribu aone kitakachomkutaNchi wanachama wa umoja wa mataifa zinaendeshwa kwa misingi ya Diplomasia!
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki
Tusikuze mambo makonda Kaonane na balozi aombe kuonana na pompeo wazungumzee wayamalize hizi Ni personal issues, Uhuru na urais wake alienda icc na kesi kashinda
..Nchi wanachama wa umoja wa mataifa zinaendeshwa kwa misingi ya Diplomasia!
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki