je mshahara wa diploma ya shule ya msingi na sekondari mshahara unalingana? Naomba mnisaidie kama hujui ni bora ukae kimya kuliko kunidanganya. Maana nataka kufanya maamzi ya kipi nisome.
Diploma ni TGTS C, zote ziko sawa
Jaman sirikali haijui hayo mnayoyasema mara gpa mara diploma ya awali, msingi au upili au vyuo sijui nni kama ni ualimu diploma ni tgts C. Ila advance diploma huwa ni equivalent to degree hata mishahara inalingana. Na kumbuka diploma ya ualimu ndo inalipwa kidogo zaidi ukilinganisha na diploma za fani nyingine kama afya, uhandisi au sheria. Tena huku kibaya zaidi hata masters na PhD hawazitambui halafu eti ni elimu. Ilitakiwa kuwe na mishahara inayokaribiana maana kulingana sio rahisi.
kwani mshahara ni kiasi kwa mwalimu wa diploma?
kwani mshahara ni kiasi kwa mwalimu wa diploma?
Alpha unakaa block gan udom?
kuna jukwaa humu nahsi ni jukwaa la kazi na ajira. Pitia utaona ila haizidi 3.5