wakuu me nimechaguliwa barchelor ya physics hapo udom na clinical medicine naomben ushaur wenu wap niende
soma ukipendacho,lakini kila kimoja kinafaida tofauti tofauti,zote ni nzuri,ila faida ya clinical medicene unakua multipurpose,vitu vyote unasoma ingawaje sio kwa undani zaidi,pharmacy iko nzuri sana ukifika ngaz ya bachelor,waweza kua mfamasia wa wilaya,oda za dawa za wilaya unatoa wewe,sasa kifisad hapa ndo nakua adv,mi mwenyew nilikua kama wew kipnd naanza kusoma,nilichaguliwa muhas pharmacy,and clnical medcne mafinga,baada ya ushaur wa hapa na pale nilishauriwa kusoma clinical medcne,ndo mwaka wangu wa3 nw namaliza.
Hiyo unaenda mkuu.Mkuu Nina biology B chemistry C physics C English C naweza clinical medicine
Unaenda kabisa, tena baada ya kumaliza miaka yako mitatu soko lake bado litakuwa juu katika ajira za serikali ukilinganisha na kozi zingine za afya ambazo haziajiri watu wengi compare to clinical medicineMkuu Nina biology B chemistry C physics C English C naweza clinical medicine
Maths ulipatajeMkuu Nina biology B chemistry C physics C English C naweza clinical medicine
Nenda dip in clinical medicine utakuwa umepiga ndege wengi kwa jiwe moja.Dip ya pharm siyo muhimu sana kwani hata usipokuwepo wewe mahali pa kazi anaweza kukaimishwa mtu yeyote hata kama ni form 4 mjanja mjanja tofauti na kada nyingine zote za afya.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nenda dip in clinical medicine utakuwa umepiga ndege wengi kwa jiwe moja.Dip ya pharm siyo muhimu sana kwani hata usipokuwepo wewe mahali pa kazi anaweza kukaimishwa mtu yeyote hata kama ni form 4 mjanja mjanja tofauti na kada nyingine zote za afya.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
Nenda dip in clinical medicine utakuwa umepiga ndege wengi kwa jiwe moja.Dip ya pharm siyo muhimu sana kwani hata usipokuwepo wewe mahali pa kazi anaweza kukaimishwa mtu yeyote hata kama ni form 4 mjanja mjanja tofauti na kada nyingine zote za afya.
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums