Tauc George
Member
- Nov 3, 2017
- 34
- 14
Habari wapendwa....naomba kufahamishwa kozi tajwa hapo juu katika vipengele vifuatavyo:
1:Usajili huwa ni muda gani?
2:Usajili huo huwa upoje?(online/kujaza fomu)
3:Muhula wa masomo huanza lini(mwezi gani)
Ahsanteni.
1:Usajili huwa ni muda gani?
2:Usajili huo huwa upoje?(online/kujaza fomu)
3:Muhula wa masomo huanza lini(mwezi gani)
Ahsanteni.