Ezekiel mgonela
Member
- May 22, 2018
- 16
- 4
Habari wadau,naomba ufafanuzi wa hiyo diploma maana nasikia imeanzishwa mwaka huu katika Chuo cha AMUCTA_TABORA kwa wahitimu wa kidato cha sita.
Early childhood hood unasomea kufundisha na kulea watoto wa pre school, special needs education unasomea kufundisha watoto wenye mahitaji maalumu (wenye shida ya kuona au uoni hafifu, wenye matatizo ya kusikia na kuongea na wenye matatizo ya akili)Habari wadau,naomba ufafanuzi wa hiyo diploma maana nasikia imeanzishwa mwaka huu katika Chuo cha AMUCTA_TABORA kwa wahitimu wa kidato cha sita.
Muhusika anatakiwa awe na sifa gani katika ufauluHabari wadau,naomba ufafanuzi wa hiyo diploma maana nasikia imeanzishwa mwaka huu katika Chuo cha AMUCTA_TABORA kwa wahitimu wa kidato cha sita.
Principle pass mbili yaani EE au EDMuhusika anatakiwa awe na sifa gani katika ufaulu
Mbili inakuwaga DD .... but asilazimishe kusoma kozi asiyoipendaPrinciple pass mbili yaani EE au ED