Biblia inatufundisha kama una mke au mume asiyeamini usimwache kwasababu huenda akamjua Mungu kupitia wewe na hivyo ukawa umeiokoa nafsi yake, kwa watoto wa bi mdogo wao wanasema asiyeamini (muislamu) ni kafir, hastahili kuwa nao karibu! na akijaribu binti kubadilisha dini, basi atatengwa na familia na hata akastahili kuchinjwa! pagumu eee? labda wewe mwanaume ndo ubadili dini kwakuwa ndugu zako hawatakutenga na watamuomba mungu aitetee nafsi yako ili ubadilike na wataishi nawe kwa upendo. (remember in the Bible there is alot of "LOVE, LOVE, LOVE " words! love thy enemy, neighbor etc....!