Zombie S2KIZZY
JF-Expert Member
- Mar 15, 2021
- 825
- 1,627
Leo nafuraha Tena kuliona dimba hili maana ni miaka mingi halitumiwi na limetelekezwa
Hivi kwann lisiboreshwe liendelee kutumika hata kwa timu za jirani?
NB: dimba kubwa baada ya mkapa stadium
Hivi kwann lisiboreshwe liendelee kutumika hata kwa timu za jirani?
NB: dimba kubwa baada ya mkapa stadium