Diamond unakosea sehemu ndogo sana

Diamond unakosea sehemu ndogo sana

ESPRESSO COFFEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2014
Posts
6,146
Reaction score
7,676
Nimeisikiliza hit mpya ya Diamond! Ni bonge la ngoma kwa club. Alichokosea ni kuwataja wanasiasa ambao leo au kesho wanaweza wakapotea kwenye ramani na tukawasahau kabisa

Ingekuwa vizurii alipowataja wanasiasa,angewataja wasanii wakubwa au wale watu ambao sio wa politics walifanya makubwaa! Mfano angesema hata 2Pac baba laoo, Michel Jackson baba laoo na sio Makonda baba lao sidhani kama Nigeria wanamjua Makonda ni nani au Mwakiyembe ni nani hawa wanaweza tenguliwa kesho tukawasahau

All in all hii ngoma inazima vijingoma vyote vilivyo toka wikii hii/mwezi huu




Diamond baba laooo na haka katoto kaliko wekwa huku kamejitahidi kwenda na kasi
 
Ni wimbo usio kua n maisha marefu pia nafikiri vile maswala ya uchaguzi yanakaribia ni kujipa shavu ale pesa za kampeni... beat n idea ya soapy yake Naira marley Nb mond ataendelea kuwabuluza mnoo
 
Ni wimbo usio kua n maisha marefu pia nafikiri vile maswala ya uchaguzi yanakaribia ni kujipa shavu ale pesa za kampeni... beat n idea ya soapy yake Naira marley Nb mond ataendelea kuwabuluza mnoo
hizi ni zile nyimbo za comedy,ambazo huwaga zina hit vibaya mno,nikuulize swali ule wimbo wa plakata rhumba unajua kilichoimbwa mule ndani? nadhan hata utakua ni shahid jins ulivyosumbua ule wimbo.
 
Back
Top Bottom