hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Kwenye show ya koffi mliman city alisema yy mwenyewe kuwa kwa east Africa meneja Wake ni kusaga na kama mtu anamwitaji yy Kuja east Africa lazima acontact na kusagaLakini aliulizwa diamond kwenye interview yake akiwa na koffi akadai management yake (Salam )ndo imehusika kwa kila kitu, na koffie mwenyewe alithibitisha. Hizo tabia za kujiongeza kwenye kila kitu uache mkuu😂😂.
Kwamba koffie hawezi kufanya collabo na mond mpka KUSAGA aruhusu au🤔?