HALI inazidi kuwa mbaya kwa mastaa wawili wa muziki wa Bongo Fleva wanaogombea unyota kimuziki, Nasibu Abdul Diamond Platnumz na Ali Saleh Kiba, safari hii yameibuka mapya kwa kila msanii kuogopa kumshika mkono mwenzake kutokana na imani za kishirikina.
watanzania bwana so hapo utakuta kunamtu katumwa arushe icho kitu ili watu wauze gazeti kwani hapo kulikua na daimond na alikiba tu na walijuaje kama ni wasanii walidondosha na mbona haikukutwa jukwaani