Diamond, kiba uchawi mtupu!

watanzania bwana so hapo utakuta kunamtu katumwa arushe icho kitu ili watu wauze gazeti kwani hapo kulikua na daimond na alikiba tu na walijuaje kama ni wasanii walidondosha na mbona haikukutwa jukwaani
 
Una maanisha JK na serikali yake ya CCM ni mizimu?

Itakuwa anamaanisha hivyo,
Maana waziri wa jk B.membe amesema Rais kikwete
Serikali yake inalindwa na majini saba.
 
Wapuuzi hawa maustadhi, dini yao inawaelekezza hivyo?
 
Ulimuona akizitupa uwanjani?
Je kama ni za washabiki waliofurika viwanjani, ziliwakatikia wakati wa furaha ya kucheza nani ajuaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…